Kama kawa mpira umeanza
Inaonekana umeumia sana kwa mleta thd kuanzisha hii thd,vipi amekuwahi na ulipanga uanzishe wewe thd ya aina hii?Dah! Nimecheka. Nchi hii tushakubali kutoendelea. Yaani mtu anakaa anawaza igonge saa sita kamili usiku aachie thread. Noma.
Asante Kwakua mkweli masta [emoji3][emoji3577]Aisee hapo tumekoswa koswa hapo
Mpaka sasa naona wananchi wanaongoza kwa pasi...Leo ushindi wa mapema sana tunapata, sina haja ya kusepa