Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Tulia mkuu tuwapigie ule wa pele, mayele kapakatwa kawa mfyeleAmekua mapele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia mkuu tuwapigie ule wa pele, mayele kapakatwa kawa mfyeleAmekua mapele
ndio ishara ya kuupiga mwingi?Wakat hapo beki wako Ana Kadi ya njano baada ya kupigwa tobo na huyo huyo mapele
Kawaokoa Nondo la sivyo ilikuwa kamba hiiBakari Nondo anasave vizuri sana
Sio kila mwanaume anaoaMpaka sasa mwanaume wa mechi anajulikana
Simba anaongoza kwa faulo je ndo kuupiga mwingi ama kuzidiwandio ishara ya kuupiga mwingi?
Sasa hilo tobo limebakia hapo mguuni?Wakat hapo beki wako Ana Kadi ya njano baada ya kupigwa tobo na huyo huyo mapele
Wengine ni surualiSio kila mwanaume anaoa
Nondo ni mchezaji wa timu gani ama ni refa kafanya kupendeleaKawaokoa Nondo la sivyo ilikuwa kamba hii
Hakuna mwanaume anayeweza oa mwanamke hovyo kama simbaSio kila mwanaume anaoa
Limeleta Kadi ya njanoSasa hilo tobo limebakia hapo mguuni?
Mwambie mwambieWengine ni suruali
Jipeni moyo ila cha moto mmekiona.Hakuna mwanaume anayeweza oa mwanamke hovyo kama simba