Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Unataka Kombe Kwa Tanga hii 😂 sawa lakini ngoja tuone.Naona umenipania rafiki. Lol
Niseme tu ubingwa tunauhitaji hivyo kuteseka kutoteseka niamue tu. 😂😂😂
Jikazeni kiume huenda mukatupita na kuongoza ligi. Teh teh.
Ni kawaida yenu kuongoza ligi miezi sita alafu mnyama anakuja kubeba ndani ya wiki mbili tu.🤣