B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Awa wanakuja kuchezea umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote ni ndugu usitegemee namungo kumfunga simba, watoto wa baba mmoja lazima namungo ampe ahueni kaka yake tena akidaka yule Nahimana alishagasema anaipenda simba anatamani acheze pale mpaka kmc wakamtupia virago, utegemee kila shuti litakalokuwa linalenga lango ni goli maana tiyali wanae yuda pale golini kwa namungoNBC Premier League kuendelea leo. Mabingwa watetezi Simba SC wakitoka kupata sare mchezo uliopita, leo saa 1:00 usiku kuwaalika Namungo FC ambao nao pia walitoka sare mchezo wao uliopita. Je, leo nani kuondoka na alama 3?
Kwa upande wa Simba, Mkude Anarejea katika nafasi ya kiungo baada ya kuwa nje kwa Muda Mrefu sana. Kwa sasa Simba Ina Majeruhi wengi ambao Watakosekana Kwenye Mtanange huu, Akiwepo Kiungo wa kimataifa Tadeo Lwanga, Sadio, Sokho, Mzamiru Yasini, Chris Mugallu.
Tuwe hapa Kuanzia Sasa Hadi kipute hiki kitakavyo Malizika.
Aya basi 2-1, umefurahii..?[emoji12]Utopolo Jana bila Refa Mwanayanga mlikuwa mnapapaswa na bwile
Kama nyie Jana utopolo mlikuwa na kocha alikuwa wa yanga na mchezajiHao wote ni ndugu usitegemee namungo kumfunga simba, watoto wa baba mmoja lazima namungo ampe ahueni kaka yake tena akidaka yule Nahimana alishagasema anaipenda simba anatamani acheze pale mpaka kmc wakamtupia virago, utegemee kila shuti litakalokuwa linalenga lango ni goli maana tiyali wanae yuda pale golini kwa namungo
Hii inaitwa..'Kubali yaishe'Tuache na timu yetu
Mkuu unatumia lugha kali Sana hatakama hupendi punguza ukali wa maneno.kila la kheri Namungo,, tomba vizuri hao makolos.. Hawana mpira hao sasa
Halafu ucheze wewe ?Ingekuwa vizuri ingechezeshwa kikosi cha zamani,kwa wachezaji wa kigeni kagere,Mugalu ,Tadeo ,Bwalya ,Morison ,Hinoga ndo wachezeshwe maana wana chemistry ya zamani ,hao magarasa mapya mengine waliyoleta yakae nje au yarudishwe kwao
Mtifuano wa nini ?Natabiri kichapo Cha Kwanza leo na kocha anafukuzwa Leo na mtifuano utaanza rasmi.
ndiyo mi forward mama yako akiwa kipaHalafu ucheze wewe ?
Sikutegemea ni mpumbavu kiasi hikindiyo mi forward mama yako akiwa kipa
Inonga Mbakaji amefungiwa mechi tatu kwa ku Mzizou mtuIngekuwa vizuri ingechezeshwa kikosi cha zamani,kwa wachezaji wa kigeni kagere,Mugalu ,Tadeo ,Bwalya ,Morison ,Hinoga ndo wachezeshwe maana wana chemistry ya zamani ,hao magarasa mapya mengine waliyoleta yakae nje au yarudishwe kwao
unastahili majibu ya kipumbavuSikutegemea ni mpumbavu kiasi hiki
Makolo fc,mnambwera mbweraTuache na timu yetu
Vipi kuhusu Kanoute mkuu 😂Ingekuwa vizuri ingechezeshwa kikosi cha zamani,kwa wachezaji wa kigeni kagere,Mugalu ,Tadeo ,Bwalya ,Morison ,Hinoga ndo wachezeshwe maana wana chemistry ya zamani ,hao magarasa mapya mengine waliyoleta yakae nje au yarudishwe kwao
kanuti heri mkude aendelee kwanza,mkude anajua kutuliza presha ya mchezoVipi kuhusu Kanoute mkuu 😂
Mutashinda na njaa, lakini sio kuwafunga Namungo.Tunashinda leo Simba 2 Namungo 0