Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Simba leo inashinda ,kwenye hii kikosi wageni ni kibu na Yusufu mhilu tu,siyo Ile kikosi kilichopita wachezaji wengi wageni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba leo inashinda ,kwenye hii kikosi wageni ni kibu na Yusufu mhilu tu,siyo Ile kikosi kilichopita wachezaji wengi wageni
Usibishane na kocha we paka fcWamekaa preseason siku za kutosha afu Leo anaongea utumbo gan
siyo mechi ya leo tu,hao ndo wanafaa kwenye kikosi bila kumsahau kagere ,Ila hawa wapya hamna jipya kwa sasaMkuu Inonga ana Red card
Muda wa kuangalia pira presha, pira ahueni,Muda ndio huu
Kazi ya uganga haikufai ina wenyewecorrect score simba 1:1 namungo
Hajamsukuma, kadi ilalistahili kupewa yule mchezaji wa simba aliyempiga kiwiko mchezaji wa namungoKwann manula hajapewa kadi kwa kumsukuma mchezaji wa namungo karibu na kibendera?
Hilo Moja la simba anafunga nani kaka? Hakuna timu hapo labda CS ya 0-0correct score simba 1:1 namungo
Huyo sio shabikiMuda wa kuangalia pira presha, pira ahueni,
kuna jamaa yangu mshabiki wa simba ameshindwa kuangalia mechi anaogopa matokeo..watani mnatia huruma
Sasa kwanini kaweka foul?Hajamsukuma, kadi ilalistahili kupewa yule mchezaji wa simba aliyempiga kiwiko mchezaji wa namungo
Unawaza kama vile una mwiko nyumaKwann manula hajapewa kadi kwa kumsukuma mchezaji wa namungo karibu na kibendera?
Sasa kwani kila foul lazima iambatane na kadi?Sasa kwanini kaweka foul?