Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Simba SC 1-0 Namungo FC | Ligi Kuu | Benjamini Mkapa

Sasa huyu refa anaharibu mpira hata kama ni faida kwa simba ila hii ni extreme
 
Ila hii ya morrison round hii ni haki
 
NBC Premier League kuendelea leo. Mabingwa watetezi Simba SC wakitoka kupata sare mchezo uliopita, leo saa 1:00 usiku kuwaalika Namungo FC ambao nao pia walitoka sare mchezo wao uliopita. Je, leo nani kuondoka na alama 3?

Kwa upande wa Simba, Mkude Anarejea katika nafasi ya kiungo baada ya kuwa nje kwa Muda Mrefu sana. Kwa sasa Simba Ina Majeruhi wengi ambao Watakosekana Kwenye Mtanange huu, Akiwepo Kiungo wa kimataifa Tadeo Lwanga, Sadio, Sokho, Mzamiru Yasini, Chris Mugallu.

Tuwe hapa Kuanzia Sasa Hadi kipute hiki kitakavyo Malizika.
Kwa jinsi simba inavyocheza uwezekano wa kuifunga hata timu ya Ihefu ni sifuri. Naamini watatolewa kombe la shirikisho kwa kufungwa bao nyingi angalau 5 na red arrows
 
Simba bado hawana taaluma ya kutumia nafasi kwenye mipira ya freekick
 
Kibu sio wakupewa mipira muda wowote inageuka foul
 
Hahahaaa jili kapu la magoli linaloonekana hapo kwenye jukwaa la mashabiki kwenye mechi iliyopita lilirudi likiwa tupu sijui leo
 
Tusibishe bure kwa Sasa hatuna timu,Sijui tatizo ni hamasa au nini?nguvu nyingi isiyokuwa na maana
 
Hahahaaa jili kapu la magoli linaloonekana hapo kwenye jukwaa la mashabiki kwenye mechi iliyopita lilirudi likiwa tupu sijui leo
kuanzia jana niliwaza labda hili kapu ndo gundu ,huyo naye aiache kwanza nyumbani
 
Asingeweka foul sasa

Weka ushabiki pembeni mkuu Manula katoka golini kwake kamfwata mchezaji kwenye kibendera huyo mchezaji akamtoka manula na manula akamzuia kwa mikono ili asiweze kuleta madhara golini
Ile ni physical contact, ingekua ni foul ambayo unaitafsiri wewe basi ingewekwa penalty maana tukio lilifanyika kwenye penalty box
 
Back
Top Bottom