Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ila yanga wanavyo furahi, kwa mtu asiyejua mwenendo wa ligi anaweza hisi wamechukua tayari ubingwaMwamedi mjanja sana katupiga akajitoa asilaumiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila yanga wanavyo furahi, kwa mtu asiyejua mwenendo wa ligi anaweza hisi wamechukua tayari ubingwaMwamedi mjanja sana katupiga akajitoa asilaumiwe
Unaongea ushuzi....Utopolo Jana bila Refa Mwanayanga mlikuwa mnapapaswa na bwile
Chama na Miki hawakuwa malaika tulikuwa tunafungwa na ku draw pia, hiyo nuksi hao wajinga wamejitia wenyewe, wamejiondoa mchezoni kisaikolojia kwa yale matokeo ya hovyo yasiyotegemewa waliyopata klabu bingwa afrika.Hamnaga kitu kama hicho! Ni wachezaji wabovu. Chama na miki waliwaficha sana hawa wachezaji.
Wewe ndo huyo bonge hapo uwanjani kwa washangiliaji wa Namungo ambae hatulii?Kuna namba ya simu inapita Azam Sport hapo ya kocha wa Simba ,mpigie akuweke no 9.
Kwa mambo yalivyo sasa wana asilimia kibwa ya kuchukua. Simba tusijidanganye kuwa tutaamka, misimu iliyopita tulikua na chama mikison, msimu huu hamna wa kubadili timu..Ila yanga wanavyo furahi, kwa mtu asiyejua mwenendo wa ligi anaweza hisi wamechukua tayari ubingwa
Simba Nguvu mojasimba 2 namungo 0
Mwamedi na yule demu wake barabara wametuuza bifu zao zimefanya tuonekane mikia makolo Bata fc inaboa kuitwa koloHiyo najisi hao wachezaji wamejitia wenyewe kwa kutolewa na Galaxy baada ya kuongoza 3-0, sina hamu nao kabisaa
Guvu moya.....marmaeKila la kheri Simba SC!
Nguvu moja.
Kwani tuna kocha?Hii Game Tuna Draw Tena Kocha Asipo Kuwa Makini.
Kumbeeila hili la kibu ilikua ni offside, hata tungeshinda ingeleta utata baadaye na ndio ingedhihirisha wazi kua tunabebwa
Wachezaji wazuri walau wangerudi mchezoni mapema, uko sahihi ila simba ya maimu huu pia ni mbovuChama na Miki hawakuwa malaika tulikuwa tunafungwa na ku draw pia, hiyo nuksi hao wajinga wamejitia wenyewe, wamejiondoa mchezoni kisaikolojia kwa yale matokeo ya hovyo yasiyotegemewa waliyopata klabu bingwa afrika.
Hilo kapu tangu aanze nalo gundu tupuHahaha nawe ulifikiri kama mimi, maana ukilicheki lina rangi ya njano
Sasa shabiki gani wa simba akabeba kapu la njano kwenye jukwaa la simba?
Au ndo tuseme kauli ya yule msemaje wetu wa mpito kua simba ina mashabiki ambao hawana chuki kwenye rangi ambazo zinafanana na jezi za yanga?
Kuimba kupokezanaGoooooooh.Kibu anafunga hapa. Ouups kumbe nilikuwa naota.Jamani wa matopeni mambo ni aje huko ?
Goooooooh.Kibu anafunga hapa. Ouups kumbe nilikuwa naota.Jamani wa matopeni mambo ni aje huko ?K
Maelezo meeengi!! wakati mshaolewaNaona Simba tunaenda kucheza 4 4 2 kibu na boco up front naiona shida kwa mhilu na Morrison maana si wakabaji Sana .
Nahisi full Back zetu zitakua nakazi kubwa sana leo kama watashindwa kuwakumbusha kurudi hawa mawinga .
Leo tuna Centre backs wote ambao wako slow inabidi akili itumike sana aisee.
Kila la khery Mnyama
Timu yetu siyo mbovu Bali imekosa mtu wa kuisuka, imagine combination ya muhilu, kibu na Morrison, Hawa wote hawezi kuanzisha move ya kupasiana maana Kila mtu anajua mpira wa kukimbizana tu na siyo kushambulia kwa kupigiana pasi. Kwangu Mimi ningemuanzisha Duncan Morrison na bwalya then mbele wakae bocco na kagere nahisi biriani linaweza likarudiKwa kifupi timu ni mbovu