Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila hili la kibu ilikua ni offside, hata tungeshinda ingeleta utata baadaye na ndio ingedhihirisha wazi kua tunabebwaNasikitika mimi jamani magoli mawili ya wazi nayaona hiviii yani hiviiiii
Kwani faulo ipi ya uwongo tuliyopewa?Refaree kama ataendelea hivi basi kuna kadi nyekundu atatoa kama sio penati, sio kwa kutubebea hivi
Mechi ya jana ilishaisha na uko sahihi mlibebwaRefaree kama ataendelea hivi basi kuna kadi nyekundu atatoa kama sio penati, sio kwa kutubebea hivi
Mbele utawalaumu tu, hii timu haichezi vizuri kuanzia tunapoanzisha mpira nyuma katikati Hawapigi pasi za uhakika, na timu nzima HAKUNA MIKIMBIO ya hatariKule mbele timu Hamna Kitu hamna Washambuliaji wenye Akili.
Kwa hiyo penati na kadi nyekundu ni ishara ya kubebwa? Inabidi wanamichezo tujuaneRefaree kama ataendelea hivi basi kuna kadi nyekundu atatoa kama sio penati, sio kwa kutubebea hivi
Kwa kifupi timu ni mbovuMbele utawalaumu tu, hii timu haichezi vizuri kuanzia tunapoanzisha mpira nyuma katikati Hawapigi pasi za uhakika, na timu nzima HAKUNA MIKIMBIO ya hatari
Hahaha nawe ulifikiri kama mimi, maana ukilicheki lina rangi ya njanokuanzia jana niliwaza labda hili kapu ndo gundu ,huyo naye aiache kwanza nyumbani
Hamnaga kitu kama hicho! Ni wachezaji wabovu. Chama na miki waliwaficha sana hawa wachezaji."Simba wahame uwanja,watakuja kunishukuru..Haji sio mtu mzuri,kauza ramani kwa adui..." alisikika mzee mmoja kwenye kijiwe cha kahawa!
Mwamedi mjanja sana katupiga akajitoa asilaumiwe