Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajibu wa shabiki ni kufurahi anapopata nafasi, na kuhuzunika ilinapotokea la kuhuzunisha. Kwasasa acha tufurahi.Game bado mbichi sana hii hifadh ya maneno ni muhimu
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Eti ukraine haipo kwenye ramani,,,Habari gani hizo mkuu??
Dua la kuku...na kuku wenyewe ndio utopoloGame bado mbichi sana hii hifadh ya maneno ni muhimu
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea Kuwa Karibu Scars na Mleta Uzi Wapo Kwa Correction.
Pia Kipindi Cha Pili Wataendelea[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ni Utopolo eeeh 🤣🤣Acha upuuzi.....
timu mbovu imeshinda
IFFHS ikiangalia huu mpira wa simba nawasiwasi wanaweza wakakosa uvumilivu wakaenda ku edit ile twakwimu na kumuweka mnyama top 5
Hakuna cha kua kali huyu mtangazaji vipi ebo
Yani simba kushinda iwe sababu ya jua kali, kwani simba wao wamevaa solar panel kwamba hawawi effected na jua?
Watangazaji kama hawa ni kuwatuma ukraine wawe maripota wa habari za vita tu
Kombe gani..? Au chandimuYanga jana tumemtoa jasho Msomali.
Da yaani nakupendaga balaa.
Ingekua hujaolewa ningeleta zizi la ng'ombe kwenu.
Hamna kitu kitamu kama kuwa na mke wote mnapenda timu moja ,na timu yenyewe Simba .
Nyie wakongo jana mlivyo suluhu si tulikaa kimya, ebu tuacheni kwanzaAcha upuuzi.....
timu mbovu imeshinda
Huyo ni kiazi tangia akiwa Yanga hata huko nje alipata nafasi kwasababu ya babake Ibenge, hamna kitu humo.