Simba Sc 1-0 RS Berkane | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Simba Sc 1-0 RS Berkane | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Baada ya lile bonanza la jana na wala supu ya risasi na mabomu lebtupo live kushuhudia game inayotambulika na FIFA.

Naona hata kocha wao amekuja kujifunza mbinu za kucheza kimataifa baada ya kumbugiza magoli ya kutosha akiwa na Merreikh na Uto alipopigwa na rivers.
 
Wazee Wetu Hakina Onyango & Kagere Wameanza Na Jua Hili la Sudan Lazima Tupigwe Tukishinda Ni Sare.

Bado Kibu Mchezaji Wetu Mwenye Kutumia Nguvu Nyingi Kuliko Akili. Ana Control Mpira Mara Kausahau Nyuma.

Kwa Kweli Kolo Mwenzangu Leo Hali Ni Mbaya Hapa Taifa
Nikikuwa najiuliza, kichwa kichafu kiko wapi? Karibu mwana Simba Sc mwenzetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ni sikukuu kwa wapenda kandanda nchini Tanzania.

Mnyama Mkubwa mwituni, Simba Sc atashuka katika dimba la Benjamin Mkapa kucheza dhidibya RS Berkane ya Morocco majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

Simba itaingia dimbani huku ikiwakaribisha nyota wake waliotoka majeruhi kama Chris Mugalu, Kibu Denis, Jonas Mkude, Tadeo Lwanga, Bwalya huku ikiwakosa Hassan Dilunga na Chama (ambaye sheria zinambana)

Simba itahitaji ushindi wa hali kwa mali ili kujiwekq katika nafasi nzuri ya kufuzu kwenda robo fainali ya michuano hiyo.

RS Berkane wakiwa ugenini wamekuwa na tabia ya kuruhusu magoli hivyo Simba ikitulia vizuri leo wanaweza wakavuna alama 3 muhimu.

Mechi ni saa 10:00 kupitia Utv ya Azam Tv.

Mijadala, updates na yote kuhusu mechi hii utapata dondoo kupitia uzi huu...karibuni sana

Simba nguvu moja!!
Mungu ibariki SIMBA isikose 2:0
 
Wazee Wetu Hakina Onyango & Kagere Wameanza Na Jua Hili la Sudan Lazima Tupigwe Tukishinda Ni Sare.

Bado Kibu Mchezaji Wetu Mwenye Kutumia Nguvu Nyingi Kuliko Akili. Ana Control Mpira Mara Kausahau Nyuma.

Kwa Kweli Kolo Mwenzangu Leo Hali Ni Mbaya Hapa Taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemuona kocha wao amekuja kujifunza mbinu za kucheza kimataifa?? Uto wana cha kujifunza hapa.
 
Tumeshapulizia madawa vyumbani wajiandae kufungwa hawa berkane
Sasa kama mngekuwa nasema hivi mbona hakuna mshabiki angetukana zaidi ya kujua tu kuwa huu ni utani.

Lakini kuna muda mnakuwa wajinga na Kutukana sijui kwanini, kama yule jamaa zero zero.

Haya timu mapokezi..!
 
Back
Top Bottom