Simba Sc 2-0 Selem View Fc | Mapunduzi Cup | Zanzibar

@Scars a.k.a mwalim Kashasha wa jf[emoji23][emoji23][emoji28]
 
Huyo dogo hii ni mara ya pili anafunga kwa ugoko.
 
Hili bonànza mnalitaka?
We unachati humu umechangia 29,000?

Moderator kama admini mmepewa dhamana ya kublock mashabiki wa yanga ambao hawajachangia mchango ambao umetangazwa leo

Ili member huyo apate access ya kuchat humu jukwaani tumeambiwa atume risiti ya uthibitisho wa malipo ya mchango wake

Natanguliza shukrani
 
Mechi ambazo anacheza sakho kiingilio kiwe 30,000 sisi tutachukua 1000, hiyo 29,000 inauobaki tunawachangia yanga


Hiyi ni baada ya kuona mashabiki wengi wa yanga population yao inazidi kuounguwa mitandaoni baada ya kublokiwa na maadmnin wao
 
Nmelipa sema lingine
 
Sako na Konoute wanakaa sana na mpira ndo maana off side zinatokea sana.Watu wanakuwa washatangulia kwa kasi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…