Simba Sc 2-0 Selem View Fc | Mapunduzi Cup | Zanzibar

Uyu Sakho hapa bongo tunamdhalilisha kwakweli,mpaka sasa ajajengewa sanamu!
 
Bocco ni kama kuku aliyekatwa kichwa
 
Phiri utamsikia kwenye bomba tu[emoji23][emoji23][emoji23]
*_Klabu ya Simba wamemalizana na Moses Phiri, Mchezaji wa ZANACO na raia wa Zambia



Ameshasaini mkataba wa awali na atajiunga na Simba msimu ujao_*
 
Msijidanganye, Moukoro hana kiwango cha kucheza Simba.
 
Kakolanya kasababisha kona ambayo haikua ya lazim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…