ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
- #21
Waoka mikate nipigie hawa makolo..
Come'ooooon Ajibu
Hivi kumbe Ajibu Tuliwapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waoka mikate nipigie hawa makolo..
Come'ooooon Ajibu
Rudia Tena kusoma hii post yako mkuu!!Arsenal ndugu wa karibu wa Simba dk 35 tu keshampasua mtu uko.
Acha ukabwiliViporo FC.
Simba ya sasa inacheza kutafuta matokeo tu.....kila la heri chama la wana
Morrison bado yuko kwenye mgomo wa kudai posho waliyoahidiwa mechi ya Yanga
Waoka mikate nipigie hawa makolo..
Come'ooooon Ajibu
Viporo FC.Acha ukabwili
Morrison bado yuko kwenye mgomo wa kudai posho waliyoahidiwa mechi ya Yanga
Gemu inaanza saa nagapi..?
Nawaombea Simba kipigo kitakatifu cha goli 1 tu, all the best Azam FC
Thanks1900hrs
Maombi yetu yatasikilizwa😀 Piga Simba wa kufugwa hao, ntaukimbia huu uzi hamtaamini😂😂Kila mtu anaomba…. [emoji28][emoji28]
Maombi yetu yatasikilizwa[emoji3] Piga Simba wa kufugwa hao, ntaukimbia huu uzi hamtaamini[emoji23][emoji23]
Na uwe na mbio kabisaMaombi yetu yatasikilizwa[emoji3] Piga Simba wa kufugwa hao, ntaukimbia huu uzi hamtaamini[emoji23][emoji23]