Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
T
Thanks
Pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
T
Thanks
Kwa kupenda vibovu tu haujamboWaoka mikate nipigie hawa makolo..
Come'ooooon Ajibu
Acha kuwapa motivation isiyokuwa na uhalisiaAzam Fc, ushindi ni lazima kwenye mechi hii. Kazi kwenu.
Na mwaka huu pia utahama hama timu hivyo hivyo mpaka tunachukua ubingwaAzam ndio Team yangu toka nitoke
Mara ngapi uambiwe kuwa Mange app ni utapeli na we haumini?Morrison bado yuko kwenye mgomo wa kudai posho waliyoahidiwa mechi ya Yanga
Ugonjwa huu sio wa kuuza godoro ndugu yanguNawaombea Simba kipigo kitakatifu cha goli 1 tu, all the best Azam FC
Mnyama lazima atoe mkono wa mwaka mpyaHappy New Year Kwa Jamii Sports Members Wote ! Salamu za Mwaka Mpya Ziwe nanyi Popote Pale Mlipo Katika Dunia Hii Ambayo ni Sayari Ya 3
Katika NBC Premier League, leo tunauanza mwaka mpya wa 2022 kwa mzizima derby ni Simba Sc dhidi ya Azam FC
Mechi hi itapigwa katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku.
KATIKA MZIZIMA DERBY
Azam FC haijapata ushindi wowote mbele ya Simba kwenye ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, wakati Simba ikishinda mechi nne na kutoka sare mechi nne. Katika mashindano mengine nje ya ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, Simba na Azam wamekutana mara tano, Azam ikishinda mara mbili na Simba ikishinda mara tatu. LEO wanakutana katika mchezo wa 14 kwenye mshindano yote tangu msimu wa 2017/18, Simba
ikiwa imeshinda michezo saba NA Azam ikishinda michezo miwili.
Je, nini kitatokea Leo?
Je, ni mnyama SimbaSC ama AzamFC nani kuondoka na alama 3?
Tuwe hapa Kufuatilia Mubashara kwa Dakika 90
Update
Vikosi vya Timu zote Mbili vimetoka
View attachment 2065320View attachment 2065324
Red card imetuangusha bila ivyo maji wangeita mma.Rudia Tena kusoma hii post yako mkuu!!
#The Cityzens. , Unasajua vzr, kasome ubao
Na wigi alishone vizuri lisije kupeperuka wakati wa kukimbiaNa uwe na mbio kabisa
Uwepo kwenye uzi huu hata baada ya gameAngalieni mpira utavyopigwa leo mtajifunza kwamba kumfunga dodoma jiji hakukupi gurantee ya kujiona gwiji
Sina record ya kukimbiaUwepo kwenye uzi huu hata baada ya game
Wastani wa umri hapa ni miaka 33😀😁
Kila Jambo huwa na mwanzo😀😁Sina record ya kukimbia