Simba SC 2-1 Azam FC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Simba SC 2-1 Azam FC | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

Angalieni mpira utavyopigwa leo mtajifunza kwamba kumfunga dodoma jiji hakukupi gurantee ya kujiona gwiji
 
Morrison bado yuko kwenye mgomo wa kudai posho waliyoahidiwa mechi ya Yanga
Mara ngapi uambiwe kuwa Mange app ni utapeli na we haumini?

Ona sasa habari kama hizi unazileta hapa huoni aibu?
 
Happy New Year Kwa Jamii Sports Members Wote ! Salamu za Mwaka Mpya Ziwe nanyi Popote Pale Mlipo Katika Dunia Hii Ambayo ni Sayari Ya 3

Katika NBC Premier League, leo tunauanza mwaka mpya wa 2022 kwa mzizima derby ni Simba Sc dhidi ya Azam FC

Mechi hi itapigwa katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku.

KATIKA MZIZIMA DERBY

Azam FC haijapata ushindi wowote mbele ya Simba kwenye ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, wakati Simba ikishinda mechi nne na kutoka sare mechi nne. Katika mashindano mengine nje ya ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, Simba na Azam wamekutana mara tano, Azam ikishinda mara mbili na Simba ikishinda mara tatu. LEO wanakutana katika mchezo wa 14 kwenye mshindano yote tangu msimu wa 2017/18, Simba
ikiwa imeshinda michezo saba NA Azam ikishinda michezo miwili.

Je, nini kitatokea Leo?

Je, ni mnyama SimbaSC ama AzamFC nani kuondoka na alama 3?

Tuwe hapa Kufuatilia Mubashara kwa Dakika 90

Update

Vikosi vya Timu zote Mbili vimetoka

View attachment 2065320View attachment 2065324
Mnyama lazima atoe mkono wa mwaka mpya
 
Dakika Chache Kuanzia Sasa Game Itaanza Moja kwa Moja Kutokea Benjamini Mkapa
 
Referee Amemaliza kuongea Na Walinda Mlango kuhusu ucheleweshaji wa Muda
 
Back
Top Bottom