rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
hivi timu gani ilikuwa inachelewesha muda ili wapate draw? Au unajitoa ufahamu kipa wenu alipojifanya kaumia baada ya kupangua shuti la kanoute.Dodoma jiji mbali, wewe Hadi leo unashangilia kutoa draw na mimi
Huyo dodoma jiji kibonde mwenzako alikutoa jasho ukaambulia 1 umesahau