mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
We Lofa mbona makasiriko mengi??Hakuna gemu hapo ni kabumbu gemu tz anacheza ni yanga tu timu zilizo baki zinacheza kabumbu hakuna gemu
Mtu mpira unamgonga goti unajaa wavuni unasemwa et what a goal sasa unajiuliza goli la tiktaka ama la ku chop kama la moloko litaitwaje