Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni 2-1 ila sio swala ukiwa mwana mathematician hainaga kwereFt S.SC 1 - 0 Azam....!
Kama nyinyi na single yenu ya GSM,leo naona GSM kawanunulia penati mkakosa.[emoji3][emoji3][emoji3] nilijua tu utakuja na hii single yako
Muongo tu. Kwani wenyewe sio wachezaji?.Daaah sikutegemea wachezaji wa Azam wangecheza faulo mbaya kama ile
Kabwili FC mpo? 😁😁😁😁😁Waoka mikate nipigie hawa makolo..
Come'ooooon Ajibu
Wewe ni Utopolo eeeh 🤣🤣🤣Viporo FC.
Subiri siku akienda garageManula anabidi ajirekebishe
Manula naanza kumkataa,uhakika wa namba unamfanye aanze utoto kama vipi Kakolanya ashike mikoba.Manula anabidi ajirekebishe
Hatukutaka maneno mitandaoni, tumemuachia refa penalty yake ili tutafute ushindi usio na makandokando.Kama nyinyi na single yenu ya GSM,leo naona GSM kawanunulia penati mkakosa.
Kama nyinyi na single yenu ya GSM,leo naona GSM kawanunulia penati mkakosa.
Achana nao ebu njoo tujadili ushindiMuongo tu. Kwani wenyewe sio wachezaji?.
Kiti cha ufalme mtasubiro sana japokuwa baba yako TFF anakutengenezea viporo ila sisi hatupoi.Mtani ndiyo tunakuja hivyo kukalia kiti chetu cha ufalme wa miaka minne[emoji3][emoji3].Happy New year,mwambie na utopolo mwenzio [mention]Insigne [/mention] nawasalimu kwa jina la Pablo [emoji3][emoji3]
Namuona Moquisone kbs ndani Ya Sakho..! What a Man
Nilikuambia nitakurudia baada ya dakika 90 .Vp unasemaje Bado Simba hakuna timu?Hakuna timu hapo wanaruka ruka tu