Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Yanga na azam Ni Lini [emoji28][emoji28][emoji28]
Tatizo Yanga walianza na mechi za vibonde,sasa hivi wanakwenda kuupanda mlima,hapo ndipo mbivu na mbichi zitajulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga na azam Ni Lini [emoji28][emoji28][emoji28]
Kumbe Azam wajinga flani tu..
Utopolo wamenunaSakho inabidi upelekwe muswada Bungeni ili sehemu ya tozo apewe.
Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako njeNilikuambia nitakurudia baada ya dakika 90 .Vp unasemaje Bado Simba hakuna timu?
Hater😅😅Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje
Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha
Total control .. Possession & shootsView attachment 2065432
Possession 68% Kwa 32%
Tushapiga huyo, mwenzake aliponea chupu chupu Hadi leo anafurahi haamini kama ali drawYanga na azam Ni Lini [emoji28][emoji28][emoji28]
Lazima wanune wanajua kabisa ushindi wao wa mchongo kuna siku utabuma.Utopolo wamenuna
Dodoma jiji ndiyo timu?Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje
Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha
Duuuh, Ukisikia Mateso ndo haya....kwani ulilazimishwa kuangalia gemu Ya Mnyama...!?Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje
Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha
hivi kwa nini Yanga huwa ni ngumu kuficha upumbavu?Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje
Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha
Utakufa na hicho kijiba cha chuki Kaka mkubwa[emoji28]Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje
Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuambia nitakurudia baada ya dakika 90 .Vp unasemaje Bado Simba hakuna timu?
Ila Dodoma Jiji iliyofanya muiite Yanga Manchester City ndiyo timu ya maana sio? [emoji23]Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje
Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha
Hakuna gemu hapo ni kabumbu gemu tz anacheza ni yanga tu timu zilizo baki zinacheza kabumbu hakuna gemuDuuuh, Ukisikia Mateso ndo haya....kwani ulilazimishwa kuangalia gemu Ya Mnyama...!?
Utopolo at their best [emoji23]Hakuna timu hapo, umecheza na Azam ambayo nado mgonjwa, tigere, dube wako nje
Bado imekutoa jasho, watu wanakwambia sakho what a goal katazame goli lenyewe anafungia goti hahahahahaha