rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
hivi timu gani ilikuwa inachelewesha muda ili wapate draw? Au unajitoa ufahamu kipa wenu alipojifanya kaumia baada ya kupangua shuti la kanoute.Dodoma jiji mbali, wewe Hadi leo unashangilia kutoa draw na mimi
Huyo dodoma jiji kibonde mwenzako alikutoa jasho ukaambulia 1 umesahau
Ulikutana Lin na mbeya Kwanza? Je Mbeya Kwanza kapanda lini lig kuu?Hahahhahaha mi naona safari ya ubingwa ipo wazi zaidi kwa Yanga kuliko kwenu kumbuka bado mna mechi za kimataifa na kuna swala la majeruhi ohooo!! Na usisahau misimu miwili yote iliyopita hamjatufunga kwenye ligi.. Na hao kina Dodoma jiji na mbeya kwanza ndo walikua wanatutesa sasa kama tunawamudu it means ubingwa uleeeeee...
Hivi Morrison yupo wapi, mbona haonekani.
Kama mlijua mbona mmeumia baada ya kuona tumefunga?tunajua wazi azam ni tawi la simba hivyo haikuwa na haja hata ya kufuatilia mechi yenyewe tulijua wazi
Wanasubiri achelewe kambini waongee ila kazi anayoifanya saivi hawatoi creditMkude uwa mnasubiri akosee ndio mchonge.
Hakuna aliyeumia ila tunawasikitikia azam wanavouza mechi
AsanteMpaka saa 4 usiku atakuwa amesha pona.
Wewe ni msengerema...Hakuna aliyeumia ila tunawasikitikia azam wanavouza mechi
Azam ni makubwa jinga sana yale huwaga yanatoa point kizembe sana
Chupa ya mirinda umeikalia vibaya embu weka vzriiiii[emoji16]Bwalya+mkude+bocco+pepe tako+banda la kuku+mhilu+mugalu+bocco+konate = goals 4
Fiston kalala mayele =?
kweli Mamako alikalia mirinda kwa sababu Babako haijawai dinda mbaya zaidi ukazaliwa msengeChupa ya mirinda umeikalia vibaya embu weka vzriiiii[emoji16]
Kama mimi ni kilaza basi wewe ni kilaza square maana ubongo wako umejaa matope huwezi elewa hata tunachozungumzia upo kama kahaba tu kudandia meza yenye bia nyingi...Ulikutana Lin na mbeya Kwanza? Je Mbeya Kwanza kapanda lini lig kuu?
Nyie watu Ni vilaza Sana sijapata kuona ,yaan mkiongoza tu ligi Basi mnakua mabingwa tayar
Haijaizidi Uhai Drinking WaterAzam FC ni the most under perfoming product kutoka Bakhresa group of companies..Surely
Kabwili upo huku tena? Jamaa yako anakutafuta sana. Anasema simu zake hupokei.Bwalya+mkude+bocco+pepe tako+banda la kuku+mhilu+mugalu+bocco+konate = goals 4
Fiston kalala mayele =?
We ndio mchepuko wa jamaa yangu ambae juzi hapo video zako zimevuja ukiliwa tigo?Kabwili upo huku tena? Jamaa yako anakutafuta sana. Anasema simu zake hupokei.
Kabwili upo? Ulipotea sana .... Hatukuoni ukidaka mpira ...unadaka mambo mengine tu ....We ndio mchepuko wa jamaa yangu ambae juzi hapo video zako zimevuja ukiliwa tigo?