Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Kivipi na unaona updates kwa matukio yote muhimu?au unadhani nipo dimbani unaniuliza mbona sifungi?
Na bado mtaita maji mma leo, time will tell. Oooh by the way hongera mtani, upo mpaka muda huu, maajabu basi Yanga washindi leo. Bundi kakaa katikati ya uwanja.
 
Na bado mtaita maji mma leo, time will tell. Oooh by the way hongera mtani, upo mpaka muda huu, maajabu basi Yanga washindi leo. Bundi kakaa katikati ya uwanja.
Tulia binti kwani dakika ya ngapi,au huko kwenu mpira umeisha?
 
Simba wako pungufu na sub washamaliza. Hatari sana hii.

Inabidi tuongeze jingine. Haraka sana
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…