Mavugo kawanyoa nywele za siriniTena ombeni hata sare laa, nakesha humu. Mwafaaaaa yani na wine inapanda taratibu. Leo mnalooooooo
#teamyangaforever#
Haaaaa haaaaa kwisha habari yakoooooGoooooooooal
balaaaaaGooooo
Pole sana mkuu kwa msiba, nakuombea usiwe tu Mkia maana utakuwa na misiba miwili. Sisi Yanga 1 wao mikia 0. Alale mahali pema peponi marehemu, amina.Wakuu nipo msibani, vipi matokeo yapo vipi?
Haya niwekeUnataka kujua kijanja. Haya ngoja nikusaidie. Member wote humu katika huu uzi wakikuweka katika ignore list ina maana. Hizo message unazopost utaona wewe na Mange Kimambi peke yenu.
Wengine wote hatutaona huo upuuzi unaopost
Refa Hana uwezo
Refa mwenyewe anaona raha Simba inavyotesaAiss
1 - 1 dadaPole sana mkuu kwa msiba, nakuombea usiwe tu Mkia maana utakuwa na misiba miwili. Sisi Yanga 1 wao mikia 0. Alale mahali pema peponi marehemu, amina.
Na mkikomaa mtashinda hii game. Mi nishakata tamaa. Hii mechi draw kwa Simba ni Ushindi.Haaaaa haaaaa kwisha habari yakooooo