Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Naombeni link ya kutazama kwenye simu wakuu.

Shukran.
 
Nimegundua mleta uzi una kila dalili za kuwa na mahaba na yanga kama vile mimi nilivyo na mahaba na Mwadui fc damu
 
Bado mapema dada hahahaah
Kaka dakika ya 3 mmeliwa, sasa mpaka zifike dakika 90, hatutakuwa na pa kuwala. Poleni sana hiyo ndiyo Yanga niijuayo. Mtalala na viatu.

#teamyangaforever#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…