Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Kichuyaaaaaaaaaa.......,,,,,,,,,
40d40222dc1ef6dc64e181f3470bf6fa.jpg
 
Yanga mkiona tena refa anampa mchezaji wa Simba kadi nyekundu gomeeni mchezo....mjue ameshahongwa hivyoo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sure Mkuu...
Ila kwa sasa karibu kinywaji Mkuu
[emoji485] [emoji485] [emoji485]
 
Ushahidi wote unaonyesha kwamba timu hii hucheza vizuri zaidi ikiwa na wachezaji pungufu.

Game iliyopita Shiza kichuya alisawazisha wakati timu yake ikiwa na wachezaji pungufu , ushahidi mwingine ni huu wa leo wa kutoka nyuma hadi kuongoza 2 - 1 ikiwa na wachezaji pungufu .

Hii kitu tusiichukulie poa , kama inaruhusiwa mechi ijayo na yanga tuingize wachezaji 10 tu .
Ha ha hAaaaaaaaaaa
 
Mm shabiki wa yanga pongezi sana kwa SIMBA[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Ila yanga leo tungefungwa goli 10 tu ingekuwa afadhali mara 1000,lkn sio kwa hiki tulichofanywa leo na SIMBA yanga kum*a la mama ako
Hata twiga stars wasingefanya hivi viroja mlivyofanya leo[emoji90] [emoji90] [emoji90]
 
Hongeren Watani....

Wachezaji wanastail viboko.....!
 
Back
Top Bottom