Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Simba SC 2 - 1 Yanga SC: Shiza Kichuya aibuka shujaa wa Simba

Kwa kweli timu yangu ya Simba inanikosha sana. Tupo pungufu uwanjani lakini kama tumeenea. Mpira umeisha, na tumeshinda. Tena timu yangu inanifurahisha sana, jana imezindua App ambayo unaweza kushiriki mijadala, kualika marafiki, kupata taarifa za kina, kununua jezi na vifaa vingine na kuona mahojiano, mechi au mabao. Unaweza kuipata App hiyo kwa ku click hapa na kisha utaingia katika page halisi itakayokupeleka play store.
Nani alikwambia kibamia hakikojoi mshhhxxxiieeww. Pungufu my foot
 
lion-roar.jpg

lion-roar.jpg

lion-roar.jpg

lion-roar.jpg

lion-roar.jpg
 
Pole sana mkuu kwa msiba, nakuombea usiwe tu Mkia maana utakuwa na misiba miwili. Sisi Yanga 1 wao mikia 0. Alale mahali pema peponi marehemu, amina.
Bado unaota tu kwamba Simba amekufa [emoji23] [emoji23] [emoji23] mdomo mbaya sana
 
Back
Top Bottom