Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Ligi Kuu, Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo Machi 1, 2021 ambapo Mnyama Mkali, Simba SC wanapambana na JKT Tanzania FC kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mchezo huu inatarajiwa kuwa kali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu ikiwania kusaka ushindi wa alama tatu muhimu ili kuweza kujiweka sawa kwenye msimamo wa VPL.
Kwenye mchezo uliofanyika 4, 10, 2020 JK Tanzania walilala kwa jumla ya mabao nne kwa bila. Je leo JKT Tanzania watakubali kuwa wateja kwa Mnyama Mkali kwa mara nyingine?
Usikose Ukasimuliwa.. Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 1: 00 Usiku.
============
00' Naaaam mpira umeanza uwanja wa Benjamin Mkapa.
08' Chris Mugalu anaipatia Simba SC bao la kwanza, baada ya krosiiiiiiii kutoka kwa Miquissone
37' Luis Miquissone anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi safi kutoka kwa Nyoni.
Mpira ni mapumziko, Simba SC wapo mbele kwa mabao mawili kwa bila.
45+1' HT, VPL Simba SC 2-0 JKT Tanzania
Kipindi cha pili kimeanza kwa JKT Tanzania kutaka kujaribu kusawazisha makosa ya kipindi cha kwanza.
Umiliki wa Simba SC sasa. Kutafuta bao la tatu.
90+3' John Bocco anaipatia Simba SC bao la tatu akipokea pasi safi kutoka kwa Bwalya
FT, VPL Simba SC 3-0 JKT Tanzania
Mchezo huu inatarajiwa kuwa kali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu ikiwania kusaka ushindi wa alama tatu muhimu ili kuweza kujiweka sawa kwenye msimamo wa VPL.
Kwenye mchezo uliofanyika 4, 10, 2020 JK Tanzania walilala kwa jumla ya mabao nne kwa bila. Je leo JKT Tanzania watakubali kuwa wateja kwa Mnyama Mkali kwa mara nyingine?
Usikose Ukasimuliwa.. Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 1: 00 Usiku.
============
00' Naaaam mpira umeanza uwanja wa Benjamin Mkapa.
08' Chris Mugalu anaipatia Simba SC bao la kwanza, baada ya krosiiiiiiii kutoka kwa Miquissone
37' Luis Miquissone anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi safi kutoka kwa Nyoni.
Mpira ni mapumziko, Simba SC wapo mbele kwa mabao mawili kwa bila.
45+1' HT, VPL Simba SC 2-0 JKT Tanzania
Kipindi cha pili kimeanza kwa JKT Tanzania kutaka kujaribu kusawazisha makosa ya kipindi cha kwanza.
Umiliki wa Simba SC sasa. Kutafuta bao la tatu.
90+3' John Bocco anaipatia Simba SC bao la tatu akipokea pasi safi kutoka kwa Bwalya
FT, VPL Simba SC 3-0 JKT Tanzania