Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC | Vodacom Premier League | Benjamin Mkapa

Simba SC 3 - 1 Dodoma Jiji FC | Vodacom Premier League | Benjamin Mkapa

Wanaonekana kuwa vizuri kutokana na simba imekosa utulivu, na ndio maana unakuta nafasi nyingi za wazi wanakosa

Mwalimu kaliona hilo tegemea marekebisho katika kipindi cha pili niamini mimi

Kwanini wakose utulivu? yaani nimeshindwa kuwaelewa Simba ni kwamba waliwadharau Dodoma jiji au ni wameridhika?

Wanatufanya tuwe na wasi wasi na hiyo tarehe nane.
 
Dodoma jiji wametulia, wamejihamini , wanashambulia na wanalindaa

Professor Gomez hope ameliona hili
 
Tulia second half ingiza Bocco na Kagere, ikibidi wawepo striker wawili kule mbele toa Mugalu na Mzamiru, hawa watoto hawanisumbui akili.
Mkuu huyu Mugalu hatakiwi kutoka hayo magoli unayo ona anakosa ni kwasababu anajua kuzitafuta hizo nafasi akiingia Kagere au boko hizo nafasi za wazi wanazokosa hapo hutoziona kabisa.
Na huyu Mzamiru hatakiwi kutoka sababu ni mkabaji pekee mwenye energy kubwa hapo tofauti na mkude mvivu kukaba.

Ngoja tuone plan ya kocha .
 
Mkuu huyu Mugalu hatakiwi kutoka hayo magoli unayo ona anakosa ni kwasababu anajua kuzitafuta hizo nafasi akiingia Kagere au boko hizo nafasi za wazi wanazokosa hapo hutoziona kabisa.
Na huyu Mzamiru hatakiwi kutoka sababu ni mkabaji pekee mwenye energy kubwa hapo tofauti na mkude mvivu kukaba.

Ngoja tuone plan ya kocha .
Toa bwalya ingiza morrison
 
Simba wakiacha kushangaa shangaa hii mechi wanashinda vzr tu, Kagere akiingia ana goli lake
 
Mkuu huyu Mugalu hatakiwi kutoka hayo magoli unayo ona anakosa ni kwasababu anajua kuzitafuta hizo nafasi akiingia Kagere au boko hizo nafasi za wazi wanazokosa hapo hutoziona kabisa.
Na huyu Mzamiru hatakiwi kutoka sababu ni mkabaji pekee mwenye energy kubwa hapo tofauti na mkude mvivu kukaba.

Ngoja tuone plan ya kocha .
Game kama hizi kocha angekuwa anaanza na striker wawili.
 
Kwanini wakose utulivu? yaani nimeshindwa kuwaelewa Simba ni kwamba waliwadharau Dodoma jiji au ni wameridhika?

Wanatufanya tuwe na wasi wasi na hiyo tarehe nane.
Mkuu hiyo ni moja ya spirit ya mchezo hadi barcelona kuna time anakosa utulivu sio simba tu

Sio kila mechi timu itakua kwenye kiwango bora kuna time wana devela
 
Back
Top Bottom