Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Mwenye kujua Chanel gani dstv wataonyesha please
227

3DD7089D-E409-4EB3-B1C7-DF6E464CFA6D.jpeg
 
Ndugu muanzisha maada unajua kama bei ya mafuta imepnda au unakula kwa baba
 
Halafu wakiambiwa mechi za simba zinafuatiliwa na watazamaji zaidi ya biln tatu wanabisha.
Mbumbumbu huwa hamuachi ujinga kabisa yaani.

Na kwanza mmetoka Kabla hata ya mechi, hiyo billion 3 mnafuatiliwa na dhidi ya kina kagera.
 
Kwenye hili kundi, watakaoenda robo fainali ni wale wanaomalizia mechi zao nyumbani.
 
Back
Top Bottom