NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Uzi umekuja mapema kabisa.
ndani ya swaum ya kwanza Simba inafuzu robo fainali.
ndani ya swaum ya kwanza Simba inafuzu robo fainali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kw DStv sina uhakika ila [emoji93] time na AzamMwenye kujua Chanel gani dstv wataonyesha please
Teh teh 😂 😂...jamaa wanafuatilia sana mechi za mnyama ni jambo jema pia.Mnakimbilia kuanzisha nyuzi wakati sherehe sio yenu
Ulienda kuwapokea lakini? Na kama uliwapokea , kitanda ulitandika kwa ajili ya game?Kila la heri US Gendarmerie
Halafu wakiambiwa mechi za simba zinafuatiliwa na watazamaji zaidi ya biln tatu wanabisha.Teh teh [emoji23] [emoji23]...jamaa wanafuatilia sana mechi za mnyama ni jambo jema pia.
Kila laheri mnyama.
Ni 2-1 ila sijajua nani atafunga hizo 2Simba leo inashinda 2_0
wana viherehere sana sijui nini kinawawashaMnakimbilia kuanzisha nyuzi wakati sherehe sio yenu
Hao ndo wachawi wenyeweMnakimbilia kuanzisha nyuzi wakati sherehe sio yenu
Yaani kwenye ndoa yenu mnaolewa bado tusije?Mnakimbilia kuanzisha nyuzi wakati sherehe sio yenu
Je umelewa?Hili kundi ni Simba na Berkane ndio wanaenda Robo fainali.
Mbumbumbu huwa hamuachi ujinga kabisa yaani.Halafu wakiambiwa mechi za simba zinafuatiliwa na watazamaji zaidi ya biln tatu wanabisha.
Siku ya sendoff kwa Mkapa na Rivers na siku ya ndoa kule Lagos Nigeria mlituona sisi tunashoboka?Yaani kwenye ndoa yenu mnaolewa bado tusije?
Tunakuja