Army of 01
Member
- Nov 5, 2021
- 34
- 33
350,000x2300=805,000,000.350,000x2300=80,500,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
350,000x2300=805,000,000.350,000x2300=80,500,000
Kumbe maela mengiKuna zero moja hujaweka
Muulize hizo nyingine anataka kupeleka wapi?Mkuu ulifaulu hesabu kweli..?
Asante sana billion kasoro350,000x2300=805,000,000.
Uvurugwa rinda hizoYaani kwenye ndoa yenu mnaolewa bado tusije?
Tunakuja
Umekosea ni 805,000,000.350,000x2300=80,500,000
Muhimu ushindi.
View attachment 2173934
Ukitumia magazijuto hesabu utayopata itakuwa ni hii350,000x2300=80,500,000
Samahani sana mkui ni billion kasoro m200Hizi hesabu za wapi?? Tumwage jasho lote hilo kisa huto tu milion??
[emoji3][emoji3]4, hili mmepewa na kipa anawapendeni sana. Ameomba msamaha kwa usumbufu aliowapa kipindi cha 1.
Wakumbuke pia TFF watapata 5% ya kiasi hicho kutoka CAF.Ukitumia magazijuto hesabu utayopata itakuwa ni hii
View attachment 2174822
Halafu nq mambo ya dollar yalivyo, leo dollar ni 2,324 kesho tutaikuta inqcheza kwenye 2,500
So hapo tutakuwa tunaongelea mazungumzo ya B sio M tena
Kasajiliwe wewe tuone. Unafikiri kucheza ni sawa na kubugia maharage.Pamoja na ushindi na kwenda robo ila msimu ukiisha hawa akina Mugalu,Bwalya na wapuuzi wengine wengi ni wakuachana nao.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Wekeni ball possession, watani waone
Mwakani Klabu Bingwa kama kawa kama Dawa, mama...e zao hao vyura wa UtopoloniUwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sisi ni wa kimataifa hatunaga stress za kigoli kimoja cha mayele nyie pambaneni mchukue kombe la bank ya biashara sisi tunahesabu dolariii
Hapo sawa mkuuUkitumia magazijuto hesabu utayopata itakuwa ni hii
View attachment 2174822
Halafu nq mambo ya dollar yalivyo, leo dollar ni 2,324 kesho tutaikuta inqcheza kwenye 2,500
So hapo tutakuwa tunaongelea mazungumzo ya B sio M tena