Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu nyau hawa wa jangwani wanatudharau dharauMpaka sasa ninachojua Simba imeshapeleka timu nne CAF wakiwemo na vyura f.c
Pesa nyingi sana hizo, kuna timu inajilinganisha na Simba ila haijafikia tulipofika miaka hii 3350,000x2300=805,000,000
Tunataka tujue msimamo wako kabla ya mechi ulikuwajeSimba hongereni, hizi timu za bongo nazishabikia zikiwa kimataifa tu, maana zinaitangaza Tanzania 🇹🇿 nchi yangu na kufanya iwe juu kisoka. Ila Yanga upuuzi mtupu mnatolewaje vile.
Biashara United ilichofanyiwa acha tu inakera.
Namungo hongera kwa kusaidia pamoja na simba msimu uliopita kupeperusha bendera.
Ila Simba ilipaswa kufahamu inahitaji magoli mengi iwe Top of group ambayo advantage ni Kuanzia ugenini then kufanya mauaji kwa mkapa. Ila Hongereni sana kwenda Robo fainali si haba.
Tanzania 🇹🇿 imewakilishwa ipasavyo.
Anahara tuu huko hakuna timu inayoitangaza Tanzania kama Simba kwanza tuu jina lake ni kivutio cha utaliiKuna kenge wa blue mmoja alianzisha uzi wa kuponda simba kwamba tunaizalilisha tz hasa mambo ya utaliii kwa ile visit tz sasa sijui huko aliko anajisikiaje mjinga yule
Eeh rafiki yangu hadi huku umefika, mmeotea tu na nyie msijidai sana😂Tupongezane basi, bila shaka umeona wanaume financial services
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Tulieni hivyo hivyo mbwa nyie
hiyo calculator inatumika pale utopoloni. Duuuuh!Mkuu ulifaulu hesabu kweli..?
Uto wanaoamini akili za manara!!
Kuna wapuuzi waliombea tupoteze ili waseme muda, sisi tumewapiga na muda huo huo wa saa 4, tumeweka rekodi kucheza Saa 4 kwa Mkapa na mashabiki wakajaWanamume tumeibeba nchi
Basi TFF inafaidika na uwepo wa simba ona hapo washakunja 40mil bila preshaWakumbuke pia TFF watapata 5% ya kiasi hicho kutoka CAF.
Hela nzuri ya kuweza kununuli utopolo waamuzi.
Hii picha imenifurahisha sana, ntaichongea frem niweke ukutaniView attachment 2174813
Nyieee🤣🤣🤣🤣🤣
Hata page yao ya twitter inapenda post mambo ya simba sababu inapata likes na comments kama zoteSasa timu kama Simba wanaachaje kutazamwa na watu bilion? CAF wenyewe walitoa ya moyoni ni timu inayoongoza kutazamwa. Hivi unajua Simba hata isipofunga ina ka utamu fulani hivi yani kuna hali fulani ya kupendwa tuu, viva Simba Vivaaaaaaaaaaaaaaaa
Waitishe press badaewaumie mara ngapi[emoji23][emoji23][emoji23]
wapo wanatapa tapa tu