Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

Simba hongereni, hizi timu za bongo nazishabikia zikiwa kimataifa tu, maana zinaitangaza Tanzania 🇹🇿 nchi yangu na kufanya iwe juu kisoka. Ila Yanga upuuzi mtupu mnatolewaje vile.

Biashara United ilichofanyiwa acha tu inakera.

Namungo hongera kwa kusaidia pamoja na simba msimu uliopita kupeperusha bendera.

Ila Simba ilipaswa kufahamu inahitaji magoli mengi iwe Top of group ambayo advantage ni Kuanzia ugenini then kufanya mauaji kwa mkapa. Ila Hongereni sana kwenda Robo fainali si haba.

Tanzania 🇹🇿 imewakilishwa ipasavyo.
Tunataka tujue msimamo wako kabla ya mechi ulikuwaje

Hatutaki mapashkuna ambao wame switch baada ya mnyama kushinda kwa dhana ya kuwa kile walicholisema mwanzo kilikuwa ni utani

Kama ulikuwa ni mweusi basi kuwa mweusi

Kama ulikiwa mweupe basi kuwa mweupe

Ila usituletee ukijivu hapa
 
Kamati ya ufundi

5DCEE2E0-FE53-4005-9D1C-C4B306923F67.jpeg
 
Sasa timu kama Simba wanaachaje kutazamwa na watu bilion? CAF wenyewe walitoa ya moyoni ni timu inayoongoza kutazamwa. Hivi unajua Simba hata isipofunga ina ka utamu fulani hivi yani kuna hali fulani ya kupendwa tuu, viva Simba Vivaaaaaaaaaaaaaaaa
Hata page yao ya twitter inapenda post mambo ya simba sababu inapata likes na comments kama zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom