Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupewe mwarabu tu aiseeh.Draw itupe hawa Al Ahl tuingie nusu
1. Al Ahli Tripoli [emoji1149]
2. Pyramids [emoji1093]
.
1. Orlando Pirates [emoji1221]
2. Al Ittihad [emoji1149]
.
1. TP Mazembe [emoji1078]
2. Al Masry [emoji1093]
.
1. RS Berkane [emoji1173]
2. Simba SC [emoji1241]
Pirates pia ni hatari mzee.
Tukiangukia kwa team kama Orlando itakuwa ni bahati nasibu sana kupenya, hasa ukizingatia kwamba tunaanzia nyumbani.Draw itupe hawa Al Ahl tuingie nusu
1. Al Ahli Tripoli [emoji1149]
2. Pyramids [emoji1093]
.
1. Orlando Pirates [emoji1221]
2. Al Ittihad [emoji1149]
.
1. TP Mazembe [emoji1078]
2. Al Masry [emoji1093]
.
1. RS Berkane [emoji1173]
2. Simba SC [emoji1241]
Hawaezi elewa...tatzo wana Ubongo kama nuktaPesa nyingi sana hizo, kuna timu inajilinganisha na Simba ila haijafikia tulipofika miaka hii 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Orlando Pirates nae yuko form sana aiseeh.
Ni baada ya kuingia robo au nusu?Mwakani timu 4 uhakika. Halafu Simba ikiwa 10 bora Africa unaleta domo lako hapa kubishana
[emoji23][emoji23]Simba Kweli Wababe....Ushindi Wote huu...Na Bungeni Hawaendi...!
Utopolo hata Wakitoa Sare na Mafunzo..Hao Bungeni..!
Baada ya kuingia robo hiiNi baada ya kuingia robo au nusu?
Kubwa Na Ndogo Zinambana Muda Huu Anachungulia CommentKuna kenge wa blue mmoja alianzisha uzi wa kuponda simba kwamba tunaizalilisha tz hasa mambo ya utaliii kwa ile visit tz sasa sijui huko aliko anajisikiaje mjinga yule
Safi sana, halafu unakuta Yanga wanaombea mabaya.Baada ya kuingia robo hii
Kaskazini bado wanatawala mashindanoDraw itupe hawa Al Ahl tuingie nusu
1. Al Ahli Tripoli 🇱🇾
2. Pyramids 🇪🇬
.
1. Orlando Pirates 🇿🇦
2. Al Ittihad 🇱🇾
.
1. TP Mazembe 🇨🇩
2. Al Masry 🇪🇬
.
1. RS Berkane 🇲🇦
2. Simba SC 🇹🇿
Takwimu kabla ya mkeka wa roboSafi sana, alafu unakuta Yanga wanaombea mabaya.
JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala it.
Taifa linahitaji kukua kisoka vitu kama hivi ni kuonesha mshikamano ila ndio hivyo ushabiki unapofusha.