mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Hapo Aboubacar Yousouf ndie mchezaji pekee wa kimataifa wa yanga ambae hastahili kuwapo kwenye kikosi chetu.Wakati ukiwa na wachezaji wa Kimataifa kama hawa.
Yanga ana wakina. Ambao ni wakubwa kimpira kuliko wenu....
NGOMA > KIIZA
KAMUSOKO > MAJABVI
NIYONZIMA > MAJWEGA
BOSSOU > MUURSHID
ABOUBACAR YOUSEF > KIONGERA
Ni bora umetumbua jipu la usajili la timu yako.