Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Basha wako anakut**** Gori ngapiIzo goli 2 atakugonga basha wako
Mniite mbwa nimekaa pale👉Anza kutafuta jina mapema...
Ukweri mchunguAta kwetu wapo by sam wa ukweli😁
Naongea ukweri sio unafki tukutane kwa mkapaKuna Watu wa aina 2 duniani;
1. Wakweli.
2. Wanafki.
Mleta mada yupo kundi la kwanza ingawa alichonena si uhakika 100% lakini kaogopa unafki wa kuwatakia Simba kila la heri ilihali yeye ni mshabiki wa Yanga.
Shabiki maandaziAcha tabia za kichawi
Staki unafki mkuuMkuu liombee Taifa....ili tupande kwenye Chat za CAF - usijali sana maslahi binafsi ya timu zetu za Bongo....Just waombee Simba kushinda kwa ajili ya Tanzania kupanda kwenye chat za CAF... Hayo mengine achana nayo...angalau wakatolewe robo fainali.....
TawileBaada ya kupata point sita kwa vibonde viper mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana