Mamba_Mtoni
JF-Expert Member
- Feb 18, 2023
- 420
- 766
Mtoa mada baada ya mechi kuisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tatu zifike sitaBaada ya kupata point sita kwa vibonde viper mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Kuna Watu wa aina 2 duniani;
1. Wakweli.
2. Wanafki.
Mleta mada yupo kundi la kwanza ingawa alichonena si uhakika 100% lakini kaogopa unafki wa kuwatakia Simba kila la heri ilihali yeye ni mshabiki wa Yanga
😂😂😂Haya sasa🤸Mniite mbwa nimekaa pale👉
Mbwa.Mniite mbwa nimekaa pale👉
Ana bafua bakari sana uyu ntuHuna tofauti na mchawi
Simba 🦁 guvu moya
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Harmonizer_mtajeAna bafua bakari sana uyu ntu
ngapi huko mwandishi?????Baada ya kupata point sita kwa vibonde viper mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Umbwa weyeBaada ya kupata point sita kwa vibonde viper mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Simba 3 🦁 horoya 0ngapi huko mwandishi?????
Leo watakuona mchawi[emoji1787][emoji1787]Baada ya kupata point sita kwa vibonde viper mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
💃🏼😁😁😁tawire
Aonekane Mara ngapi kwa mpira huu wanaoupiga wana wa Msimbazi. Ukisikia Simba anaunguruma pale Lupaso ndio Leo na kuendelea😆😆Leo watakuona mchawi[emoji1787][emoji1787]