Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Utakufa kwa uchawi.Tupa tunguli hizo!Baada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana