Simba SC haifiki Robo Fainali na leo inafungwa goli 2

Simba SC haifiki Robo Fainali na leo inafungwa goli 2

Simba bado timu yenu ni mbovu
Na robo fainal hamtoboi mkipangwa tu na mamelods basii kwisha habari yenu.
 
Kuna jitu limeshupaza shingo huku roho inataka kumtoka ...sidhani kama keshi ataamka salama anaweza akadedi ghafla
 
Baada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.

Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa

Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Mchawi hana akili.
 
Sawa ndugu nchawi, tuondoke na lipi sasa, simba wamehonga 38m au wameroga!?
Mchawi hana akili.
Vyote
Horoya nawajua wamecheza chini ya kiwango
Kolo Amna akili mkifungwa lawama kwa kocha mkishinda hongera kwa chama nonsense
 
Baada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.

Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa

Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Tatizoooo mkishakulaa tuuu ugal mkashiba kila mtuu mchambuziiiii haya kapiga mtu wikiii ongea tena
 
Yale machawi yamekosa content wanaongea ongea kama wehu sasa hivi kwa kipigo maana umepigwa mpk ukoo wak mzima..
Mbumbumbu ni Mbumbumbu tu, hata akibahatisha kucheza na vitimu dhaifu kuliko Ihefu FC atajisifia [emoji2]
 
Leo mtajiharishia nyie utopolo wenye viriba tumbo...hapa naongelea utopoz wale wenye vijiba vya roho kama mwajuma ndala ndefu..kuna wale wanaojielewa hao haiwahusu hii..
Kuna Watu wanawashwa washwa na Bingwa wa EPL, FA, na Ngao ya hisani TZ "YANGA FC" 2022 - 2040 [emoji1787]
 
Back
Top Bottom