Simba SC haimtendei haki beki wa kimataifa, Mohammed Ouatara

Niliona kuna maelezo fulani hapo juu uliandika na uliyafuta! Halafu na yeye aka ku quote! Anyway, lengo langu siyo kujiingiza kwenye mgogoro.

Pole sana. Jamii forums kuna wakati inakera dana. Hivyo huna budi kuichukulia.
Sijafuta kitu chochote mkuu maybe JF wamefuta. Jf wanafuta contents wanazoamua wao
 
Kama haujui tu kuwa Outtara katokea Burkina Faso na siyo Ivory coast ni wazi kuwa hujawahi kumuona akicheza zaidi ya akiwa Simba. Kwa hiyo uliyoandika ni ya kupuuza tu.
 
Sasa mnashangaa nini na nyie?watoto wa nyumba moja wanagombana itakuwa mashabiki?.naona baadhi ya Utopolo msio na hoja ya kujenga sasa mmepata pa kusemea
 
Hao wote wametukanana! Hivyo wanatakiwa kubadilika. Ni bora tukaendela na huu utani wetu wa kawaida.

Matusi hayana tija hata kidogo kwa watu wazima. Halafu eti chanzo ni utani tu wa Yanga na simba!
Kwanza Mods wasipo wapiga ban nitajua kua sikuhuzi JF imeshuka hadhi.

Huyo Sister KALPANA mara nyingi comments zake kama anatangaza biashara flani kinguvuuu!!!!
 
Kwanza Mods wasipo wapiga ban nitajua kua sikuhuzi JF imeshuka hadhi.

Huyo Sister KALPANA mara nyingi comments zake kama anatangaza biashara flani kinguvuuu!!!!
Naona hujasoma mwanzo wa hii ishu nitafute mahali nilipotoa comment yoyote mbaya kwenye thread yoyote ile. Bado huna hoja
Itaje hyo biashara Fulani ni gani mkuu ili nikuuzie na wewe
 
Ktk maisha yangu hakuna kinachonichukiza kama matusi
Halafu usiombee ukutane na ng'ombe iliyotoka malishoni! Yaani umechangia uzi fulani! Huku ukiwa huna hili wala lile, inatoka kusiko julikana na kuja kukutukania mama yako!

Aisee hakuna tusi ambalo sijawahi kulivumilia kama hili! Enzi zangu za ujana kuna mbwa wawili niliwahi kuwatandika ngumi za uso kwa sababu tu ya kunitukana hili tusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…