Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
GENTAMYCINE / Popoma / Genius / Jasusi / Product ya SAUT, mimi chawa wako nasema kuwa huu uzi utakuwa wakweli, ila Yanga Bingwa na bado tuna misimu 7 mbele. Miaka 10 mfululizo tunachukua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alishashiriki ufedhuli na amekiri mwenyewe unadhani atafanya nini cha zaidi yeye aongee tu huko njeKaka Genta unaonekana una kitu Fulani au talent ya uongozi mm nakuomba uchaguzi ujao gombea uongozi kaka tafadhali kaka
Hahahahaha jamaa wako vzr na umbumbumbu wao..Makolokolo hamjawahi kuniangusha kabisa kwa umbumbumbu, si niliwaambia kuwa ushindi dhidi ya Tabora FC na Azam FC ni mbwembwe tu za Wachezaji kujihakikishia nafasi chini ya Kocha mpya, kiko wapi sasa?
Nina uhakika wana Simba SC wengi wasio na Akili kwa huu Ukweli wako Mchungu na Tukuka hapa kamwe hawatokuelewa.Mwekezaji mwenyewe (Mo) kakimbia haonekani. Hata mashamba na viwanda vya chai anavyomiliki nchini amevifunga. Juzi Bunge lilikuwa linamjadili. Kwa sasa Simba waanze mazoezi ya kutembeza bakuli. Labda asiitekeleze Simba amuuzie Mwekezaji mwingine ndio itakuwa pona ya Wanasimba kutembeza bakuli.
Vizee vimekaa pale kikao kizima kizima kimesinzia tu kinaota urojo na ugoro. Yan kimedoro mchana kweupe hakina hoja wala neno kinasubri posho tuSc hakuna uongozi,,,hata dangote aichukue timu bado mambo yale yale,,,,,
Viondoeni hivyo vizee, wekeni vijana wenye njaa ya mafanikio, walete vision mpya,,, pia timu iendeshwe kisasa
Utahangaika sana kubadili ID's zako ili upambane na Mimi 24/7 hapa JamiiForums ila kamwe HUNIWEZI na unapoteza Muda.Nikikuambia wewe ni mropokaji,Hujui lolote na kukutusi unalalamika,siku chache zilizopita ukimsifia Mgunda now kageuka ….Link ya uzi wako hiyo hapo
Bisha Mtoto wa Ukwamanani
Kwanini Wachezaji wa Simba SC wakifundishwa na Kocha Juma Mgunda huwa na Furaha, Amani, Uchangamfu na Uwajibikaji mkubwa kuliko Makocha wa Kigeni?
Ongezea pia Mtanzania aliye VVIP katika Taifa jirani na sasa amepewa Jukumu ambalo anaenda Kuiheshimisha Tanzania.GENTAMYCINE / Popoma / Genius / Jasusi / Product ya SAUT, mimi chawa wako nasema kuwa huu uzi utakuwa wakweli, ila Yanga Bingwa na bado tuna misimu 7 mbele. Miaka 10 mfululizo tunachukua.
Hahahahaha ukimfatisha ana ukifatisha hizi nyuzi za vigeu geu ,mbumbumbu wa humu ...utawadhaarau sana tena sana...wengi waanzisha wa humu hasa wa timu hy wana mtindio wa ubongo nadhani...hawajui jana aliandika nn na leo ameandika nn..Nikikuambia wewe ni mropokaji,Hujui lolote na kukutusi unalalamika,siku chache zilizopita ukimsifia Mgunda now kageuka ….Link ya uzi wako hiyo hapo
Bisha Mtoto wa Ukwamanani
Kwanini Wachezaji wa Simba SC wakifundishwa na Kocha Juma Mgunda huwa na Furaha, Amani, Uchangamfu na Uwajibikaji mkubwa kuliko Makocha wa Kigeni?
Mina kula facts,kanusha hilo juu kama sio andiko lako.Kuwa na msimamo mtoto wa kiume.Utahangaika sana kubadili ID's zako ili upambane na Mimi 24/7 hapa JamiiForums ila kamwe HUNIWEZI na unapoteza Muda.
Wamenishindwa Manguli hapa tokea mwaka 2013 leo hii Wewe Mpuuzi mmoja ndiyo uniweze? Mimi ndiyo GENTAMYCINE sawa?Mina kula facts,kanusha hilo juu kama sio andiko lako.Kuwa na msimamo mtoto wa kiume.
Get busy young boy,Mimi huwa sinshindani na vitu visivyo na faida.kushindana wewe nikupeteza muda wangu buree.Wamenishindwa Manguli hapa tokea mwaka 2013 leo hii Wewe Mpuuzi mmoja ndiyo uniweze? Mimi ndiyo GENTAMYCINE sawa?
Hata Wewe kitendo cha Kugongwagongwa sidhani kama ungeichungulia hii dunia leo.Get busy young boy,Mimi huwa sinshindani na vitu visivyo na faida.kushindana wewe nikupeteza muda wangu buree.
Huwa nakugonga maramoja moja nikukukuta umepost ujinga.
Sawa umeshinda Rafiki yanguHata Wewe kitendo cha Kugongwagongwa sidhani kama ungeichungulia hii dunia leo.
Mimi chawa wako nitawashughulikia wanao kupingaWamenishindwa Manguli hapa tokea mwaka 2013 leo hii Wewe Mpuuzi mmoja ndiyo uniweze? Mimi ndiyo GENTAMYCINE sawa?
Sijawahi kuwa na Rafiki Mnafiki na wala sihitaji Urafiki nawe na acha Kujipendekeza Kwangu tafadhali sawa? Fanya yako.Sawa umeshinda Rafiki yangu