Simba SC hata wakipewa miaka kumi ya kujiandaa Kama walivyoiomba Bodi ya ligi ni ngumu kuifunga Al Ahly

Simba SC hata wakipewa miaka kumi ya kujiandaa Kama walivyoiomba Bodi ya ligi ni ngumu kuifunga Al Ahly

Ndiyoo!! Nilishangazwa na timu ya Simba sc kuomba mchezo wao dhidi ya Singida fountain Gate Fc kupelekwa mbele ili wafanye maandalizi ya kukutana na Al ahly ya Cairo misri.

Ni Bora Simba sc wacheze mechi na Singida fountain Gate Fc ili ikitokea wamepigwa goli za kutosha na kutolewa katika michuano hiyo ya mbuzi Al maarufu super league wawe na Cha kusingizia kwamba walicheza mechi ngumu kabla ya kukutana na Al ahly.

Gape la kutoka tar 8 mpaka tar 20 ni kubwa mno na wachezaji watakua wamepnzika vya kutosha Sasa sijui Simba wana malengo gani kuomba mechi Yao dhidi ya Singida fountain Gate kupelekwa mbele.

Bodi ya ligi wakitoa hata miaka kumi kwa Simba bado ni ngumu kwa Simba sc kumfunga Al ahly Hilo halina ubishi Wala halina unafiki.
Sio lazima kuwa unaandika andika. Sometimes unatulia, unajisomea.

Simba inakunyima raha kiasi hiki. Michuano ya mbuzi?! Infantino ndani, wakali kama Wenger ndani.🤣🤣
 
Ngoja wapigwe kwanza nje ndani na hao Al Ahly! Na kwenye makundi nako washike mkia, ili zile kelele zao za kumkataa Robertinho zianze upya.
Robertinho ni strategist alieiva, labda walaumiwe wachezaji.

Simba pale ndani ina watu wana akili timamu na utaalamu wa mpira.

Robertinho ndiyo suluhisho kwa Simba ya sasa, anafundisha mpira mkubwa sana bado wachezaji hawajauweza.

Gamondi namhurumia, atafukuzwa akizubaa. Mpira anaoutaka kuudhibiti ukiwa na wachezaji wanaoskiliza maelekezo vizuri ni rahisi.
Reference:Alichofanya Namungo ukapata goli la jioni ndicho alichofanya Ihefu,lakini akajitahidi kukupunguzia nafasi za kutengeneza magoli kirahisi.

Na ratiba ya Yanga imekaa vibaya kama ya Simba mwaka jana. Unaanzia ugenini na Medeama, next mechi unakutana na giant wa kundi Al Ahly🤣🤣🤣. Unajikuta mechi mbili una point 0 au 1.
 
Sio lazima kuwa unaandika andika. Sometimes unatulia, unajisomea.

Simba inakunyima raha kiasi hiki. Michuano ya mbuzi?! Infantino ndani, wakali kama Wenger ndani.[emoji1787][emoji1787]
KWA HIYO HUTAKI TUTOE MAONI KUHUSU SIMBA YENU MBOVU.
 
Ndiyoo!! Nilishangazwa na timu ya Simba sc kuomba mchezo wao dhidi ya Singida fountain Gate Fc kupelekwa mbele ili wafanye maandalizi ya kukutana na Al ahly ya Cairo misri.

Ni Bora Simba sc wacheze mechi na Singida fountain Gate Fc ili ikitokea wamepigwa goli za kutosha na kutolewa katika michuano hiyo ya mbuzi Al maarufu super league wawe na Cha kusingizia kwamba walicheza mechi ngumu kabla ya kukutana na Al ahly.

Gape la kutoka tar 8 mpaka tar 20 ni kubwa mno na wachezaji watakua wamepnzika vya kutosha Sasa sijui Simba wana malengo gani kuomba mechi Yao dhidi ya Singida fountain Gate kupelekwa mbele.

Bodi ya ligi wakitoa hata miaka kumi kwa Simba bado ni ngumu kwa Simba sc kumfunga Al ahly Hilo halina ubishi Wala halina unafiki.
Hakika MACHOKO hamtaisha Nchi hii
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom