Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BalekeInamaana hakuna mwenye Simba app humu atusanue?
Simba inawawazia CSKA Moscow, Yanga inawawazia Simba 😆Kama wachezaji ndio hawa tutawachapa sana ngada nyie😅😅
Kila mtu na level zake.Uto endeleeni kuiota Simba, hicho ndicho kipimo chenu cha juu kabisa cha mafanikio mnayoyatamani kwa miaka mingi.View attachment 2482884
Kama wachezaji ndio hawa tutawachapa sana ngada nyie[emoji28][emoji28]
Hebu tupe mafanikio ya Simba ya hivi karibuni....Kila mtu na level zake.Uto endeleeni kuiota Simba, hicho ndicho kipimo chenu cha juu kabisa cha mafanikio mnayoyatamani kwa miaka mingi.
Mafanikio huanzia nyumbani kutoka nje... Level ya simba ni ipi timu isiyo na uwezo kusajili mchezaji hata 300m ina ukubwa gani😅. Mnaokota magarasa yanatolewa kwa mkopo.Kila mtu na level zake.Uto endeleeni kuiota Simba, hicho ndicho kipimo chenu cha juu kabisa cha mafanikio mnayoyatamani kwa miaka mingi.
Ujinga mwingine bana... Hiyo CSKA moscow imechezesha wachezaji wapi 😅...... Imekosa timu za ulaya ikaamua kuja kutaliii Dubai.Simba inawawazia CSKA Moscow, Yanga inawawazia Simba 😆
Kwani hujui CSKA yenyewe ni ya Ulaya? Au huelewi maana ya UEFA?Ujinga mwingine bana... Hiyo CSKA moscow imechezesha wachezaji wapi 😅...... Imekosa timu za ulaya ikaamua kuja kutaliii Dubai.
Umchape nani mbwa wewe mumeo aliekutoa bikra mbalali tumemfanya chakla bado wewe mwajuma nipeView attachment 2482884
Kama wachezaji ndio hawa tutawachapa sana ngada nyie😅😅