Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio changamoto iliyopo Tanzania professionalism hakuna kabisa kwenye haya masuala. Kulikuwa na uharaka gani?Kuna kinu kunaitwa copy write, Mwenye ubunifu wake akijua tayari tumemtajirisha. Tatizo ujuaji wa kina manara bila kuhusisha professionals.Waliihitaji kuonana na creative director akasimamia hi kazi, siyo kila desktop designer ni creative director. Hakuna ubunifu happy zaidi no kujiweka kwenye matatizo.
hiyo ya simbaHii ya Kucopy au ipi?
Tatizo ujuaji mwingi,hii tu inaweza kutuweka kwenye matatizo.Logo zenye picha ya Simba zipo nyingi duniani,na kila moja inamaana yake,mbaya zaidi hii inaonekana kabisa imesajiliwa...akipatikana mwanasheria wa kuchunguza fursa akawatafuta hawa jamaa akaja na ushahidi imekula kwetu.COSOTA ni mwanachama wa Copywriters Duniani,lengo ni kulinda kazi za ubunifu,lolote linaweza kutokea..100M na kuendelea inawahusu kwa kukwepa 2M ya creative director/designerNdio changamoto iliyopo Tanzania professionalism hakuna kabisa kwenye haya masuala. Kulikuwa na uharaka gani?
Amna huyo si simbaSi ndio imekuwa copied
Hii inaweza kusambaa hadi kuwafikia wahusika. Inaweza kwenda mbali kimasikhara labda kama designer awe aminunua lakini sijui nini kimefanyika. Hapo utakuta zimewatoka fedha za kutoshaTatizo ujuaji mwingi,hii tu inaweza kutuweka kwenye matatizo.Logo zenye picha ya Simba zipo nyingi duniani,na kila moja inamaana yake,mbaya zaidi hii inaonekana kabisa imesajiliwa...akipatikana mwanasheria wa kuchunguza fursa akawatafuta hawa jamaa akaja na ushahidi imekula kwetu.COSOTA ni mwanachama wa Copywriters Duniani,lengo ni kulinda kazi za ubunifu,lolote linaweza kutokea..100M na kuendelea inawahusu kwa kukwepa 2M ya creative director/designer
Kuna kinu kunaitwa copy write,Mwenye ubunifu wake akijua tayari tumemtajirisha.Tatizo ujuaji wa kina manara bila kuhusisha professionals.Waliihitaji kuonana na creative director akasimamia hi kazi,siyo kila desktop designer ni creative director...Hakuna ubunifu hapo zaidi ni kujiweka kwenye matatizo...Kubuni logo ama nembo Tena ya club kubwa Kama Simba inahitaji mchakato,siyo suala la kusema tu aahh namjua dogo mmoja ni balaa kabisa kwenye designing.
Kidogo tumekupata. Ila hapo kwenye "copy write" badilisha isomeke "copyright".Kuna kinu kunaitwa copy write,Mwenye ubunifu wake akijua tayari tumemtajirisha.Tatizo ujuaji wa kina manara bila kuhusisha professionals.Waliihitaji kuonana na creative director akasimamia hi kazi,siyo kila desktop designer ni creative director...Hakuna ubunifu hapo zaidi ni kujiweka kwenye matatizo...Kubuni logo ama nembo Tena ya club kubwa Kama Simba inahitaji mchakato,siyo suala la kusema tu aahh namjua dogo mmoja ni balaa kabisa kwenye designing.