uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Anatumia ushabiki zaidi kuliko uchambuzi sasa unafikiri ataweza kukuelewa?Ukisema Simba haiwezi kuchukua ubigwa wa Afrika eti kisa haina nyota, ninakua na mashaka na uwezo wako wa kufikiri. Kitaaluma hakuna kitu kinachoitwa nyota, neno nyota limekaa kiimani zaidi na ni hoja dhaifu kuitumia unapotoa hukumu kwenye mambo yaliyokaa kitaaluma zaidi kama haya.
Kuhusu suala la Simba kuchukua ubingwa wa Afrika mbona lilishaongelewa kuwa target kubwa ya timu ni kufika nusu fainali, na kama ikitokea ikachua ubingwa kwani tatizo liko wapo maana hapo timu itakua imevuka malengo yaani kama kwenye asilimia, mafanikio ya timu yataku yamekua asilimia 100.
NB: Ukiachana na hoja niliyoitoa hapo juu kabisa nilipokua najaribu kukuweka sawa kuhusu suala la nyota kwenye uhalisia wa taaluma kwamba hicho kitu hakipo. Nipe sababu zingine, kwa nini Simba haiwezi kuchukua ubingwa wa Afrika safari hii..?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app