Simba SC imepangwa kundi gumu ila ratiba ya kundi itawabeba

Simba SC imepangwa kundi gumu ila ratiba ya kundi itawabeba

we jamaa head coach na tunaoifaham simba tunajua kund jepes kwetu



saiz wenyewe tunajua fitina na how to handle them

hata wao wanatuogopa coz tumezitoa team za kibabe kabisa



amini usiamin lets assume nkana asingetolewa na simba na wasingekutana af wakapangwa kundi moja...kuna watu wangesema nkana ngum waki compare na zesco kua ni team ya zambia na ilifika nusu fainali





team za Africa siwez kusimuliwa coz nimeshuhudia uwezo wao c TP mazembe,Mamelod sundown,Al Ahly wala mimosas zote lain




msiichukulie poa simba na wala usiwaambie tumekata tamaaa


Team ina chama,Dilunga,Okwi,Kwas,Kichuya,kagere,fundi Mkude,Boko,Kichuya,Tshabalala,Pascal wawa,nyoni,kapombe,kotei....what the hell is kukata tamaa


THIS IS SIMBA BROTHER




I AM SINA JAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
Umenena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we jamaa head coach na tunaoifaham simba tunajua kund jepes kwetu



saiz wenyewe tunajua fitina na how to handle them

hata wao wanatuogopa coz tumezitoa team za kibabe kabisa



amini usiamin lets assume nkana asingetolewa na simba na wasingekutana af wakapangwa kundi moja...kuna watu wangesema nkana ngum waki compare na zesco kua ni team ya zambia na ilifika nusu fainali





team za Africa siwez kusimuliwa coz nimeshuhudia uwezo wao c TP mazembe,Mamelod sundown,Al Ahly wala mimosas zote lain




msiichukulie poa simba na wala usiwaambie tumekata tamaaa


Team ina chama,Dilunga,Okwi,Kwas,Kichuya,kagere,fundi Mkude,Boko,Kichuya,Tshabalala,Pascal wawa,nyoni,kapombe,kotei....what the hell is kukata tamaa


THIS IS SIMBA BROTHER




I AM SINA JAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app

Tim ipi unaiogopa?
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
Mkuu wanaoongoza kukata tamaa ni Vyura FC. Msimu ulioisha walipangwa kundi la vibonde wakawa wanagawa points tu kwa kukata tamaa mapema. Fuatilia utaghndua Simba hatukatagi tamaa. Kama tutatolewa basi kwa kupambana si ku-give up rahisi rahisi tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini)....nakumbushia hata KCCA pale uganda alijipigia 2 nunge ....
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
Ratiba inabeba vipi wakati mechi zote ni home and away?
Kuanzia home ni immaterial.
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
Umesema ukweli mkuu umesomeka
 
Back
Top Bottom