SINA JAMBO
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 338
- 270
we jamaa head coach na tunaoifaham simba tunajua kund jepes kwetu
saiz wenyewe tunajua fitina na how to handle them
hata wao wanatuogopa coz tumezitoa team za kibabe kabisa
amini usiamin lets assume nkana asingetolewa na simba na wasingekutana af wakapangwa kundi moja...kuna watu wangesema nkana ngum waki compare na zesco kua ni team ya zambia na ilifika nusu fainali
team za Africa siwez kusimuliwa coz nimeshuhudia uwezo wao c TP mazembe,Mamelod sundown,Al Ahly wala mimosas zote lain
msiichukulie poa simba na wala usiwaambie tumekata tamaaa
Team ina chama,Dilunga,Okwi,Kwas,Kichuya,kagere,fundi Mkude,Boko,Kichuya,Tshabalala,Pascal wawa,nyoni,kapombe,kotei....what the hell is kukata tamaa
THIS IS SIMBA BROTHER
I AM SINA JAMBO
Sent using Jamii Forums mobile app
saiz wenyewe tunajua fitina na how to handle them
hata wao wanatuogopa coz tumezitoa team za kibabe kabisa
amini usiamin lets assume nkana asingetolewa na simba na wasingekutana af wakapangwa kundi moja...kuna watu wangesema nkana ngum waki compare na zesco kua ni team ya zambia na ilifika nusu fainali
team za Africa siwez kusimuliwa coz nimeshuhudia uwezo wao c TP mazembe,Mamelod sundown,Al Ahly wala mimosas zote lain
msiichukulie poa simba na wala usiwaambie tumekata tamaaa
Team ina chama,Dilunga,Okwi,Kwas,Kichuya,kagere,fundi Mkude,Boko,Kichuya,Tshabalala,Pascal wawa,nyoni,kapombe,kotei....what the hell is kukata tamaa
THIS IS SIMBA BROTHER
I AM SINA JAMBO
Sent using Jamii Forums mobile app