Simba SC imepangwa kundi gumu ila ratiba ya kundi itawabeba

Simba SC imepangwa kundi gumu ila ratiba ya kundi itawabeba

Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
uzi wako ungekuwa 100% perfect kama ucngeijumuisha madrid na bayern munich kwenye mfano wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.

Best analysis man.

You saw this coming.
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
Aisee uko vizuri mwanangu unamzidi underdog shaffih Dauda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
Bro unaujua mpira sio kama yule underdog

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naona ratiba inaibeba Simba SC na kama watalitambua hilo, wanaweza kupenya kwenda robo fainali. Simba SC ataanza nyumbani na Saoura kabla ya kucheza mechi mbili mfululizo ugenini na AS Vita na Al Ahly.
Nimeshangaa sana kuona 'mashabiki' wengi wakikata tamaa baada ya makundi ya CAF Champions League kupangwa siku ya jana, wengi 'wakidai' kuwa tumepangwa na timu ngumu.
Sasa nikiyatazama hayo manne sioni kundi lolote rahisi kama watu wanavyodhani. Kumbukeni hii miamba 16 yote 'imepitia na kufaulu' mikikimikiki yote ya hatua ya mtoano mpaka kutinga makundi, tofauti ya hizi timu ni 'kujiamini tu' kunakotokana na uzoefu wa baadhi ya timu.
Strategy kuu zitumiwazo na vigogo wazoefu wa haya mashindano ni hii:
1. Kushinda mechi zote za nyumbani
2. Kutafuta suluhu ugenini ( au ukizubaa unapigwa kwako kwa counterattack)
Hivyo tuelewe kwamba Africa hakuna giants kama Real Madrid, Barcelona au Bayern Munchen ambao 'wanakupiga nje ndani' utake usitake.
Timu yeyote inaweza kufungwa ugenini na timu yeyote inaweza kushinda nyumbani (hata hao Al Ahly 'wanaowaogopa' baadhi ya watu, pia wamefungwa mechi ya mwisho na timu ya Ethiopia ugenini).
Sasa watu wanavyokata tamaa najiuliza walitegemewa kupangwa na timu gani wao wanaiona rahisi? Mamelodi Sundowns, Tp Mazembe, Asec, Wydad, Esperance au nani?? Au mnadhani Horoya AC ni kibonde? Hawa jamaa ni wababe sana hasa wakicheza nyumbani kwao na msimu ulioisha walifika hadi robo fainali ya CAF Champions League.
Timu pekee ninayoiona dhaifu kwenye makundi ni FC Platinum ya Zimbabwe, ila zingine zote ni wababe tusijidanganye.
Ni ujinga mwanaume umepambana na sasa umeshaingia kwenye makundi halafu unakata tamaa hata mechi moja hujacheza eti sababu kufungwa kwenye Azam Cup, haya ni mashindano tofauti yenye approach na psychology tofauti hata kwa wachezaji na viongozi. Inafungwa Real Madrid itakuwa Simba SC.!!
Hii tabia ya kukata tamaa inaonyesha ni aina gani ya watu tulionao kwenye jamii yetu, watu wavivu wanaotegemea ajira za serikali, yaani serikali isipotangaza ajira ni vilio kila Kona. Kwa nini wachaga wako tofauti na waafrika wengine? Jibu ni rahisi sana, hawakati tamaa kwenye maisha na wanapambana kweli kweli sawa na wahindi na waarabu wa Tanzania.
Hebu watanzania tuache hizi tabia maana ndio adui wetu mkubwa kwenye kila sekta na si michezoni peke yake.
Big up.
Akili ya mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom