Simba SC imetosha, sasa acheni kusajili kwani tuna vikosi hatari viwili vya Mauaji

Simba SC imetosha, sasa acheni kusajili kwani tuna vikosi hatari viwili vya Mauaji

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna timu moja GENTAMYCINE naionya mapema ijitahidi tu kwa Makusudi ifungwe na Azam FC kwani ikishinda na ikikutana nami Simba SC ninayeenda kumpiga Kipigo cha Kishalubela (Kikatili) Nduguye wa yatokako Mafuta ya Alizeti na Kuku wazuri wa Kienyeji naenda Kumfunga Goli 7 au 9 na hawatoamini.

Msije kusema GENTAMYCINE sikuwaonya.
 
1. DIARRA
2. YAO
3. KIBABAGE
4. FRED
5. BACCA
6. AUCHO
7. MAX
8. ZOUZOUA
9. LILEPO
10. AZIZ KI
11. MSUVA

SUB.
1. MUSONDA
2. METACHA
3. JOB
4. NONDO
5. SKUDU
6. MUDATHIR
7. SUREBOY
8. FARID
9. MKUDE
10. MZIZE



Usiseme hujaambiwa ndugu POPOMA.
Ugua pole
 
1. DIARRA
2. YAO
3. KIBABAGE
4. FRED
5. BACCA
6. AUCHO
7. MAX
8. ZOUZOUA
9. LILEPO
10. AZIZ KI
11. MSUVA

SUB.
1. MUSONDA
2. METACHA
3. JOB
4. NONDO
5. SKUDU
6. MUDATHIR
7. SUREBOY
8. FARID
9. MKUDE
10. MZIZE



Usiseme hujaambiwa ndugu POPOMA.
lini mlimsajili Msuva, kama mshahara wa Mayele umewashinda mtaweza wa Msuva
 
lini mlimsajili Msuva, kama mshahara wa mayele umewashinda mtaweza wa Msuva
Na mwambie kuwa tunajua kwa sasa Yanga SC kuna Ukata mkubwa wa Fedha ndiyo maana wamewapa Adhabu za Kisiri Bangala, Lomalisa na Djuma kwa Kudai Fedha zao.

Huwezi kutumia Fedha nyingi Kuhonga Marefa, Wachezaji na Timu kwa mwaka mzima ili ubebe Vikombe na ufike mbali Kimataifa halafu Usitoboke Mfuko na Msimu Mpya ukawa bado stable Financially.

Kuna Njaa huko Yanga SC hadi Huruma.
 
h
1. DIARRA
2. YAO
3. KIBABAGE
4. FRED
5. BACCA
6. AUCHO
7. MAX
8. ZOUZOUA
9. LILEPO
10. AZIZ KI
11. MSUVA

SUB.
1. MUSONDA
2. METACHA
3. JOB
4. NONDO
5. SKUDU
6. MUDATHIR
7. SUREBOY
8. FARID
9. MKUDE
10. MZIZE



Usiseme hujaambiwa ndugu POPOMA.
amna maokoto yakumlipa lilepo nyie kazi yenu ni kuchukua kwa mkopo kutoka congo
 
Na mwambie kuwa tunajua kwa sasa Yanga SC kuna Ukata mkubwa wa Fedha ndiyo maana wamewapa Adhabu za Kisiri Bangala, Lomalisa na Djuma kwa Kudai Fedha zao.

Huwezi kutumia Fedha nyingi Kuhonga Marefa, Wachezaji na Timu kwa mwaka mzima ili ubebe Vikombe na ufike mbali Kimataifa halafu Usitoboke Mfuko na Msimu Mpya ukawa bado stable Financially.

Kuna Njaa huko Yanga SC hadi Huruma.
Popoma umeanza kuhar.a jukwaani
 
lini mlimsajili Msuva, kama mshahara wa Mayele umewashinda mtaweza wa Msuva
Mshahara wa mchezaji wa ndani hauzingatii gharama za usafiri wa kwenda kwako, kibali cha kuishi nk. Hivyo wachezaji wa ndani mil 15 ni level kubwa. Wachezaji wa nje unaona wanalipwa pesa kubwa kutokana na mazingira ya kazi mkuu.
 
Simba Haina kiungo mkabaji CDM 6.

Simba Haina Beki wa kati Inonga au malone AKIUMIA AU AKIWA na ADHABU.

Wamejaza mawinga 8.

Otherwise ingefika mbali sana hata Fainali
 
Yanga leo au kesho inamtangaza lilepo au lamine jarjou,kumbuka hersi wakati anahojiwa south africa alisema Yanga ya msimu ujao itakua bora zaidi ya msimu uliopita,kolos jiandaeni kisaikolojia
h

amna maokoto yakumlipa lilepo nyie kazi yenu ni kuchukua kwa mkopo kutoka congo
 
Mshahara wa mchezaji wa ndani hauzingatii gharama za usafiri wa kwenda kwako, kibali cha kuishi nk. Hivyo wachezaji wa ndani mil 15 ni level kubwa. Wachezaji wa nje unaona wanalipwa pesa kubwa kutokana na mazingira ya kazi mkuu.
Msuva anapata mshahara wa levo za waarabu hivyo usiwaze atakuja kulipwa milioni 15 au 20
 
Msuva anapata mshahara wa levo za waarabu hivyo usiwaze atakuja kulipwa milioni 15 au 20
Mshahara anaopata Uarabuni, unajumuisha mambo mengi, sasa akiwa home hayo mambo yanapungua kwa 50%. Gharama za kuishi na familia, Vibali vyao, Maeneo ya kuishi (ukiwa mgeni huwezi ishi uswazi) nk.
Hizo Pesa zinacover mambo mengi.
 
Mshahara anaopata Uarabuni, unajumuisha mambo mengi, sasa akiwa home hayo mambo yanapungua kwa 50%. Gharama za kuishi na familia, Vibali vyao, Maeneo ya kuishi (ukiwa mgeni huwezi ishi uswazi) nk.
Hizo Pesa zinacover mambo mengi.
yeye mwenyewe keshasema hakuna timu Tanzania inayoweza kumsajili. Hivi umesahau wakati ule ana mgogoro na timu yake, walishindwa Nini kumsajili.
 
Back
Top Bottom