Simba SC imetosha, sasa acheni kusajili kwani tuna vikosi hatari viwili vya Mauaji

Simba SC imetosha, sasa acheni kusajili kwani tuna vikosi hatari viwili vya Mauaji

1. DIARRA
2. YAO
3. KIBABAGE
4. FRED
5. BACCA
6. AUCHO
7. MAX
8. ZOUZOUA
9. LILEPO
10. AZIZ KI
11. MSUVA

SUB.
1. MUSONDA
2. METACHA
3. JOB
4. NONDO
5. SKUDU
6. MUDATHIR
7. SUREBOY
8. FARID
9. MKUDE
10. MZIZE



Usiseme hujaambiwa ndugu POPOMA.
Kwa mujibu wa TFF hawa wote hawajasajiiwa
 
Kuna timu moja GENTAMYCINE naionya mapema ijitahidi tu kwa Makusudi ifungwe na Azam FC kwani ikishinda na ikikutana nami Simba SC ninayeenda kumpiga Kipigo cha Kishalubela (Kikatili) Nduguye wa yatokako Mafuta ya Alizeti na Kuku wazuri wa Kienyeji naenda Kumfunga Goli 7 au 9 na hawatoamini.

Msije kusema GENTAMYCINE sikuwaonya.
Hivi wewe ni mwanaume au mwanamke?
 
1. DIARRA
2. YAO
3. KIBABAGE
4. FRED
5. BACCA
6. AUCHO
7. MAX
8. ZOUZOUA
9. LILEPO
10. AZIZ KI
11. MSUVA

SUB.
1. MUSONDA
2. METACHA
3. JOB
4. NONDO
5. SKUDU
6. MUDATHIR
7. SUREBOY
8. FARID
9. MKUDE
10. MZIZE



Usiseme hujaambiwa ndugu POPOMA.
Hii timu ingekua ya nabi watu wangekimbia viwanjani,moto Sana hii
 
Mshahara wa mchezaji wa ndani hauzingatii gharama za usafiri wa kwenda kwako, kibali cha kuishi nk. Hivyo wachezaji wa ndani mil 15 ni level kubwa. Wachezaji wa nje unaona wanalipwa pesa kubwa kutokana na mazingira ya kazi mkuu.
Kama sijakosea hata Kodi Yao ni kubwa kuliko ya mchezaji wa ndani.
 
1. DIARRA
2. YAO
3. KIBABAGE
4. FRED
5. BACCA
6. AUCHO
7. MAX
8. ZOUZOUA
9. LILEPO
10. AZIZ KI
11. MSUVA

SUB.
1. MUSONDA
2. METACHA
3. JOB
4. NONDO
5. SKUDU
6. MUDATHIR
7. SUREBOY
8. FARID
9. MKUDE
10. MZIZE



Usiseme hujaambiwa ndugu POPOMA.
Diarra hayupo hapo weka metacha mzee wa dole la kati
 
Kuna timu moja GENTAMYCINE naionya mapema ijitahidi tu kwa Makusudi ifungwe na Azam FC kwani ikishinda na ikikutana nami Simba SC ninayeenda kumpiga Kipigo cha Kishalubela (Kikatili) Nduguye wa yatokako Mafuta ya Alizeti na Kuku wazuri wa Kienyeji naenda Kumfunga Goli 7 au 9 na hawatoamini.

Msije kusema GENTAMYCINE sikuwaonya.
leo yanga tunashusha vtuma 3 akiwemo msuva

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Sio hawajasajiliwa ni kwamba Yanga hawajaattach majina kwenye mfumo wa FIFA.
Kwa kutoambatanisha ( attach ) Kwao huko unawaona Viongozi wa Yanga SC yako wana Akili Timamu Kweli au wana Akili za Kipa Katoka Golini tu kama Wewe?
 
Kwa kutoambatanisha ( attach ) Kwao huko unawaona Viongozi wa Yanga SC yako wana Akili Timamu Kweli au wana Akili za Kipa Katoka Golini tu kama Wewe?
Wana akili, kwa maana muda bado, wakimaliza kila kitu wataattach ndani ya siku moja tu.
 
Yanga leo au kesho inamtangaza lilepo au lamine jarjou,kumbuka hersi wakati anahojiwa south africa alisema Yanga ya msimu ujao itakua bora zaidi ya msimu uliopita,kolos jiandaeni kisaikolojia
Nyie fainali ya losers mlisema Nabi yupo na mwanae kajiandaa kusaini mkataba mpya...ila kilicho tokea wote mashahidi
 
Back
Top Bottom