OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kinyume chake unakuja kula chuma kumi na mtu ambae aliamua kujifungia chumbani kwake sijui utawaambia nini watu?
Video clip ya Sekunde 30 ndio inakupa conclusion? Wewe jamaa siyo mzima.
Kibu D yupo kwa ajili ya hiyo timu iliyojifungia chumbani kwake.Kinyume chake unakuja kula chuma kumi na mtu ambae aliamua kujifungia chumbani kwake sijui utawaambia nini watu?
Ipo ndefu..hiyo ameifupisha kulingana na mahitaji ya humuVideo clip ya Sekunde 30 ndio inakupa conclusion? Wewe jamaa siyo mzima.
Kumbe ndio maana huwa mnaokota tu wachezaji akiwatumia video ya dakika moja anawapiga chenga mazuzu basi mnajaa.
Sasa sijui angeiona ile mechi na Kaizer Chiefs angesemaje huyo mtu.Video clip ya Sekunde 30 ndio inakupa conclusion? Wewe jamaa siyo mzima.
Kumbe ndio maana huwa mnaokota tu wachezaji akiwatumia video ya dakika moja anawapiga chenga mazuzu basi mnajaa.
Jamaa ana kitu huyu asipuuzwe [emoji1787][emoji23]Mm ni YANGA ila simba naiogopa Jamani naona kbsa
Simba 9
Yanga 0
Matokeo ya Leo yakoje
[emoji1787][emoji1787]...! Wameokota kipa mmoja huko mlemavu.Video clip ya Sekunde 30 ndio inakupa conclusion? Wewe jamaa siyo mzima.
Kumbe ndio maana huwa mnaokota tu wachezaji akiwatumia video ya dakika moja anawapiga chenga mazuzu basi mnajaa.
Tumekusikia yanga wa moMm ni YANGA ila simba naiogopa Jamani naona kbsa
Simba 9
Yanga 0
Muombe radhi Diara, Yanga hata isipoweka kipa golini huwezi kuambulia goli hizo.kwa kasi hii uki compare na ile aliyopelekewa kaizer juzi kweli unaweza ukapiga mtu 10 ila kwenye dabi FT ubao unaweza someka someka simba 10-25 yanga...watu wa amapiano walichezeshwa singeli ile siku siwezi sahau
Kwa tabia hizi ndio maana mnazimia uwanjani mnawapa watu shida Bure. Mpira hauna kasi yoyote, timu yenyewe ya daraja la Tano. Mkija kufungwa kwenye ligi msipige kelele
Ona huyu bwege. Man City mwenyewe anakimbiza na bado anafungwa, itakuwa Simba? Hili jukwaa limevamiwaKwa tabia hizi ndio maana mnazimia uwanjani mnawapa watu shida Bure. Mpira hauna kasi yoyote, timu yenyewe ya daraja la Tano. Mkija kufungwa kwenye ligi msipige kelele