kungurumanga
Senior Member
- Sep 4, 2015
- 175
- 44
= tajiri
= tajiri
wewe mama unaweweseka sana tangia ikulu imepata rais mkatoliki baada ya yule mtu wenu mliemuandaa kukatwa na lazma tb joshua aje kukimbiza mapepo yote mliofuga huko ikulu
Kuna tatizo kubwa kama watu wanajadili kukabidhi timu kwa tajiri badala ya kujadili namna ya kuifufua timu yao. Huko Ulaya zipo timu zinamilikiwa na mashabiki na zinafanya vema, tusiwe watu wa kusaidiwa kila leo, ni ishara ya unyonge!
boss mfano timu gani za ulaya
Kuna tatizo kubwa kama watu wanajadili kukabidhi timu kwa tajiri badala ya kujadili namna ya kuifufua timu yao. Huko Ulaya zipo timu zinamilikiwa na mashabiki na zinafanya vema, tusiwe watu wa kusaidiwa kila leo, ni ishara ya unyonge!