Simba SC kama mnamleta Kocha Mkuu Mbrazil Roberto Oliviera nashauri yafuatayo na myazingatie kiumakini

Simba SC kama mnamleta Kocha Mkuu Mbrazil Roberto Oliviera nashauri yafuatayo na myazingatie kiumakini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Mruhusuni aje na Wasaidizi wake na siyo atakaowakuta.

2. Mkitaka asaidiwe na Mzawa mtafutieni Mtu tofauti na Mgunda na Matola.

3. Maamuzi yote ya Kiufundi ndani ya Klabu yetu aachiwe Yeye na asiingiliwe kamwe.

4. Matola apelekwe Timu ya Vijana Simba B akahangaike nayo huko.

5. Ikiwapendeza Mgunda awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Simba SC au apewe Timu ya Wanawake Simba Queens akafundishe.

6. Musa Mgosi asipandishwe Timu ya Wakubwa na kuwa sehemu ya Benchi la Ufundi.

7. Ili kuanza vyema na huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera fanyeni Maamuzi magumu katika Kikosi cha Simba SC na hasa hasa katika Benchi la Ufundi.

Nawajua Mgunda na Matola ni Waswahili Waswahili mno na wataungana ili Kumvuruga na Kumvurugia Kocha Mkuu huyu Mpya na hatimaye Timu haitopata Matokeo na tutamfukuza Jambo ambao Kwao Mgunda na Matola litakuwa ni Furaha.

Watanzania tunajuana na Sisi Watu wa Mpira (hasa huu wa Tanzania tunajuana) hivyo ukiona GENTAMYCINE namkataa Mgunda na Matola kuwa Wasaidizi wa huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera jua (jueni) kuwa namaanisha.

Mkinipuuza huko mbeleni mtakuja Kunikumbuka kwani Sisi Wengine Mwenyezi Mungu katubariki na Maono Makubwa na Makali hivyo yazingatieni. Yote haya kwa Faida ya Simba SC yetu.
 
1. Mruhusuni aje na Wasaidizi wake na siyo atakaowakuta

2. Mkitaka asaidiwe na Mzawa mtafutieni Mtu tofauti na Mgunda na Matola

3. Maamuzi yote ya Kiufundi ndani ya Klabu yetu aachiwe Yeye na asiingiliwe kamwe

4. Matola apelekwe Timu ya Vijana Simba B akahangaike nayo huko

5. Ikiwapendeza Mgunda awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Simba SC au apewe Timu ya Wanawake Simba Queens akafundishe

6. Musa Mgosi asipandishwe Timu ya Wakubwa na kuwa sehemu ya Benchi la Ufundi

7. Ili kuanza vyema na huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera fanyeni Maamuzi magumu katika Kikosi cha Simba SC na hasa hasa katika Benchi la Ufundi

Nawajua Mgunda na Matola ni Waswahili Waswahili mno na wataungana ili Kumvuruga na Kumvurugia Kocha Mkuu huyu Mpya na hatimaye Timu haitopata Matokeo na tutamfukuza Jambo ambao Kwao Mgunda na Matola litakuwa ni Furaha.

Watanzania tunajuana na Sisi Watu wa Mpira ( hasa huu wa Tanzania tunajuana ) hivyo ukiona GENTAMYCINE namkataa Mgunda na Matola kuwa Wasaidizi wa huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera jua ( jueni ) kuwa namaanisha.

Mkinipuuza huko mbeleni mtakuja Kunikumbuka kwani Sisi Wengine Mwenyezi Mungu katubariki na Maono Makubwa na Makali hivyo yazingatieni.yote haya kwa Faida ya Simba SC yetu.
Simba inayoamini uchawi hadi kuadhibiwa na CAF itaendana na kicha Msomi wa ki Brazil?
 
Me sijui Simba wanahangaika na nn, me naona Mgunda anatosha kabisa maana ball linatembea kweli na team inapata ushindi na magoli ya kutosha yanafungwa.

Tunaleta kocha mpya ambaye team haijui aanze tena kujaribu wachezaji mara huyu mara yule tukija stuka msimu umeisha na hakuna tulichopata.

Nikikumbuka yule Zoran alivyotaka kutuulia team yetu mara anasema sijui Chama mzito, Phiri siyo striker mzuri, onyango si beki akatuletea magarasa yake hapa wakina Dejan na Quatarra nakosa imani kabisa na hawa wazungu.

Wangemuamini Mgunda ameonyesha anaweza na team cohesion ilimeshakaa vizuri
 
Me sijui Simba wanahangaika na nn, me naona Mgunda anatosha kabisa maana ball linatembea kweli na team inapata ushindi na magoli ya kutosha yanafungwa. Tunaleta kocha mpya ambaye team haijui aanze tena kujaribu wachezaji mara huyu mara yule tukija stuka msimu umeisha na hakuna tulichopata. Nikikumbuka yule Zoran alivyotaka kutuulia team yetu mara anasema sijui Chama mzito, Phiri siyo striker mzuri, onyango si beki akatuletea magarasa yake hapa wakina Dejan na Quatarra nakosa imani kabisa na hawa wazungu. Wangemuamini Mgunda ameonyesha anaweza na team cohesion ilimeshakaa vizuri
Maoni yako ....na wao viongozi wana yao...watoa pesa wana yao ....tuheshimu na kuvumiliana
 
Roho ya kimaskini, chuki binafsi kwa Matola na Mgunda vimekujaa, yani kwako kwa watanzania kutolewa kazini ndio raha yako, kumbuka wao pia maisha yao yanategemea hicho wanachofanya, je ingekuwa wewe ingekuwaje, acha roho ya husda waache watanzania wenzetu wapate
 
1. Mruhusuni aje na Wasaidizi wake na siyo atakaowakuta.

2. Mkitaka asaidiwe na Mzawa mtafutieni Mtu tofauti na Mgunda na Matola.

3. Maamuzi yote ya Kiufundi ndani ya Klabu yetu aachiwe Yeye na asiingiliwe kamwe.

4. Matola apelekwe Timu ya Vijana Simba B akahangaike nayo huko.

5. Ikiwapendeza Mgunda awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Simba SC au apewe Timu ya Wanawake Simba Queens akafundishe.

6. Musa Mgosi asipandishwe Timu ya Wakubwa na kuwa sehemu ya Benchi la Ufundi.

7. Ili kuanza vyema na huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera fanyeni Maamuzi magumu katika Kikosi cha Simba SC na hasa hasa katika Benchi la Ufundi.

Nawajua Mgunda na Matola ni Waswahili Waswahili mno na wataungana ili Kumvuruga na Kumvurugia Kocha Mkuu huyu Mpya na hatimaye Timu haitopata Matokeo na tutamfukuza Jambo ambao Kwao Mgunda na Matola litakuwa ni Furaha.

Watanzania tunajuana na Sisi Watu wa Mpira (hasa huu wa Tanzania tunajuana) hivyo ukiona GENTAMYCINE namkataa Mgunda na Matola kuwa Wasaidizi wa huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera jua (jueni) kuwa namaanisha.

Mkinipuuza huko mbeleni mtakuja Kunikumbuka kwani Sisi Wengine Mwenyezi Mungu katubariki na Maono Makubwa na Makali hivyo yazingatieni. Yote haya kwa Faida ya Simba SC yetu.
swali langu ni hili,je simba wana uwezo wa kumlipa huyo kocha?
 
1. Mruhusuni aje na Wasaidizi wake na siyo atakaowakuta.

2. Mkitaka asaidiwe na Mzawa mtafutieni Mtu tofauti na Mgunda na Matola.

3. Maamuzi yote ya Kiufundi ndani ya Klabu yetu aachiwe Yeye na asiingiliwe kamwe.

4. Matola apelekwe Timu ya Vijana Simba B akahangaike nayo huko.

5. Ikiwapendeza Mgunda awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Simba SC au apewe Timu ya Wanawake Simba Queens akafundishe.

6. Musa Mgosi asipandishwe Timu ya Wakubwa na kuwa sehemu ya Benchi la Ufundi.

7. Ili kuanza vyema na huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera fanyeni Maamuzi magumu katika Kikosi cha Simba SC na hasa hasa katika Benchi la Ufundi.

Nawajua Mgunda na Matola ni Waswahili Waswahili mno na wataungana ili Kumvuruga na Kumvurugia Kocha Mkuu huyu Mpya na hatimaye Timu haitopata Matokeo na tutamfukuza Jambo ambao Kwao Mgunda na Matola litakuwa ni Furaha.

Watanzania tunajuana na Sisi Watu wa Mpira (hasa huu wa Tanzania tunajuana) hivyo ukiona GENTAMYCINE namkataa Mgunda na Matola kuwa Wasaidizi wa huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera jua (jueni) kuwa namaanisha.

Mkinipuuza huko mbeleni mtakuja Kunikumbuka kwani Sisi Wengine Mwenyezi Mungu katubariki na Maono Makubwa na Makali hivyo yazingatieni. Yote haya kwa Faida ya Simba SC yetu.
Kuleta kocha mzungu Simba sasa hivi itakuwa ni upumbavu mkubwa kuwahi kutokea na nitaamini kwa mara ya kwanza tuna mwekezaji mhuni na tapeli mkubwa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom