Simba SC kama mnamleta Kocha Mkuu Mbrazil Roberto Oliviera nashauri yafuatayo na myazingatie kiumakini

Simba SC kama mnamleta Kocha Mkuu Mbrazil Roberto Oliviera nashauri yafuatayo na myazingatie kiumakini

Ana mpira wa kasi sana yule kocha waulize yanga wanamjua siku ya mwanachi aliwalisha ugali badala ya biriani.

Sasa mkuu pale kasi iko wapi??wale jamaa wanakabaga wote hadii strikers,ndo mana mazembe akapasuka kwao
 
Anakuja na manzoki au anakuja yeye mwenyewe?

Nb.: biashara za mtandaoni ngumu sana.unagiza manzoki unaletewa saido na kocha
 
Wenye uwezo ni wale waliofukuzwa avic town kwa kushindwa kulipa pango? Au wale wenzetu wanaoteswa na kijana mdogo mpaka wategemee busara za wazee kubakisha mchezaji wakati pesa hawana?
Ongea na mwananke mwenzio Babra atakueleza Hali halisi....

Uwezo wa kumchukua Manzoki haupo! Ndio uwezo wa kumpata huyo Kocha na Benchi lake la ufundi utoke wapi!?

Amka mama....
 
Ongea na mwananke mwenzio Babra atakueleza Hali halisi....

Uwezo wa kumchukua Manzoki haupo! Ndio uwezo wa kumpata huyo Kocha na Benchi lake la ufundi utoke wapi!?

Amka mama....
Sawa mcheza uchi na mlambwa kinyeo ujumbe wako nitaufikisha kwa dada ako barbra
Uko avic town au unaelekea jangwani baada ya pango kuisha?
 
Naunga mkono hili, ni bora Mgunda awe Mkurugenzi wa ufundi na kocha mpya aje na msaidizi wake lakini tumpe msaidizi mmoja mzawa na yule kocha wa KMC anafaa maana anaijua ligi vizuri na wachezaji wa Simba anawajua. Hii itampa kocha mkuu uhuru na timu.

Mkurugenzi wa ufundi pia anahitaji kupelekwa kozi fupi ili ajue majukumu yake vizuri otherwise kocha mkuu atamu outsmart.




Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Yule kocha ana mpira wa kupaki sana basi na kutumia nguvu sana,na simba hawana hiyo falsafa sijui kama atawezana na simba.
Kwa asili na nchi anayotoka ni rahisi ku switch. Ni muhimu ajue falsafa ya Simba maana nasikia anapenda 4:3:3 ambayo ni style ya Yanga kutumia zaidi mawinga.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ndo liko hapo aisee. Utaona Matola mzee wa ten percent anabaki. Hawa makocha wasaidizi wazawa huwa wanakuwa na influence kubwa sana kwa wachezaji..
 
Mambo ya Mpira unaongea point sana hapa umeongea ukweli kabisa na unamaanisha maendeleo ya soka la Ukweli Tanzania Big up Mkuu...
 
Me sijui Simba wanahangaika na nn, me naona Mgunda anatosha kabisa maana ball linatembea kweli na team inapata ushindi na magoli ya kutosha yanafungwa.

Tunaleta kocha mpya ambaye team haijui aanze tena kujaribu wachezaji mara huyu mara yule tukija stuka msimu umeisha na hakuna tulichopata.

Nikikumbuka yule Zoran alivyotaka kutuulia team yetu mara anasema sijui Chama mzito, Phiri siyo striker mzuri, onyango si beki akatuletea magarasa yake hapa wakina Dejan na Quatarra nakosa imani kabisa na hawa wazungu.

Wangemuamini Mgunda ameonyesha anaweza na team cohesion ilimeshakaa vizuri
Mgunda kocha mzuri ila sio kwa level ya simba kwanza kwenye squad selection mbovu pili hana plan B team ikizidiwA mgunda hapana kwa kwel tusijidanganye kushinda kwa agosto na bullets zile za kwaidA saNaa
 
Roho ya kimaskini, chuki binafsi kwa Matola na Mgunda vimekujaa, yani kwako kwa watanzania kutolewa kazini ndio raha yako, kumbuka wao pia maisha yao yanategemea hicho wanachofanya, je ingekuwa wewe ingekuwaje, acha roho ya husda waache watanzania wenzetu wapate
Kama wana maisha yao hata team ina taratibu za kiundeshaji ukwel lazma usemwe haTa kama ni McHungu makocha wa kwaida sana kocha huna plan b team ikizidiwA __??? Na tangu mgunda apewe team game gan umeona kwamba hata kwel mgunda mzuru wa tactics.????
 
Kuleta kocha mzungu Simba sasa hivi itakuwa ni upumbavu mkubwa kuwahi kutokea na nitaamini kwa mara ya kwanza tuna mwekezaji mhuni na tapeli mkubwa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mbna mashabiki wa mpira wa bongo tuna ushabiki maandazi team ikishinda kocha AachwE team initially draw ikafungwa koCha mbovu hv mashabiki wa kibongo tupojE
 
Hunipendi GENTAMYCINE kama ilivyo kwa Mwenzako Tate Mkuu na hata OKW BOBAN SUNZU lakini kila Siku ( 24/7 ) mkiingia ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima tu mtasoma Mada zangu Kudadadeki zenu.

Mnanichukia Machoni na Midomoni mwenu ila Mioyoni mwenu / kwenu mnanikubali na mnanipenda kweli kweli.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Dume zima unahamu ya kupendwa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kama wana maisha yao hata team ina taratibu za kiundeshaji ukwel lazma usemwe haTa kama ni McHungu makocha wa kwaida sana kocha huna plan b team ikizidiwA __??? Na tangu mgunda apewe team game gan umeona kwamba hata kwel mgunda mzuru wa tactics.????
Uzembe mzigo!timu inashinda na bado unataka kumlaumu Mgunda,kwamba akija huyo unayedhani ndio Simba itakuwa Bora?Simba inahitaji WACHEZAJI WA kiwango sio mocha kwasasa
 
Ongea na mwananke mwenzio Babra atakueleza Hali halisi....

Uwezo wa kumchukua Manzoki haupo! Ndio uwezo wa kumpata huyo Kocha na Benchi lake la ufundi utoke wapi!?

Amka mama....
Unajiskiaje muda huu kocha wa vipers atangazwa simba muda huu
Au uko avic town umefungiwa kama kambole unalishwa unga na mapumba?
 
Huyu kocha alitakiwa aje msimu wa ligi umeisha, yaani hapa tunaanza moja!

Mtayakumbuka haya maneno yangu.
 
Back
Top Bottom