Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Mmiliki wa Avic town ni nani?Ulizani ni kama nyie mlioshindwa kulipa kodi avic town mpaka mmefukuzwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmiliki wa Avic town ni nani?Ulizani ni kama nyie mlioshindwa kulipa kodi avic town mpaka mmefukuzwa?
Huyu mechi ya Simba na Yanga ndio itamfungisha virago baada ya Mayele kufanya yake.Huyu kocha alitakiwa aje msimu wa ligi umeisha, yaani hapa tunaanza moja!
Mtayakumbuka haya maneno yangu.
Ni mjinga Sana huyu rfk anguRoho ya kimaskini, chuki binafsi kwa Matola na Mgunda vimekujaa, yani kwako kwa watanzania kutolewa kazini ndio raha yako, kumbuka wao pia maisha yao yanategemea hicho wanachofanya, je ingekuwa wewe ingekuwaje, acha roho ya husda waache watanzania wenzetu wapate
The [emoji238]Asante japo najua kwa hii Post yako na hii Credit yako Kwangu akina ukikaidi utapigwa2, Tate Mkuu na OKW BOBAN SUNZU watanuna mno tu kwani ndiyo Vinara wa Kunichukia GENTAMYCINE na Kunionea Kijicho / Gere kwa Ushindi na Umaarufu wangu mkubwa na Uliotukuka hapa JamiiForums.
Tegemea kuanzia sasa Kuambiwa kuwa hii ID yako ni Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe na hapa nimeandika kwa ID yako ( nyingine ) ili Kujisifia na kutafuta Sifa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Akikujibu huyo @320V nishtuweMmiliki wa Avic town ni nani?
Hapa tunaangalia mstakabali wa club, sio maslahi ya matola na mgunda, elewa hilo mzee.Roho ya kimaskini, chuki binafsi kwa Matola na Mgunda vimekujaa, yani kwako kwa watanzania kutolewa kazini ndio raha yako, kumbuka wao pia maisha yao yanategemea hicho wanachofanya, je ingekuwa wewe ingekuwaje, acha roho ya husda waache watanzania wenzetu wapate
Leo nakuunga mkono mkuu. Umetema madini.1. Mruhusuni aje na Wasaidizi wake na siyo atakaowakuta.
2. Mkitaka asaidiwe na Mzawa mtafutieni Mtu tofauti na Mgunda na Matola.
3. Maamuzi yote ya Kiufundi ndani ya Klabu yetu aachiwe Yeye na asiingiliwe kamwe.
4. Matola apelekwe Timu ya Vijana Simba B akahangaike nayo huko.
5. Ikiwapendeza Mgunda awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Simba SC au apewe Timu ya Wanawake Simba Queens akafundishe.
6. Musa Mgosi asipandishwe Timu ya Wakubwa na kuwa sehemu ya Benchi la Ufundi.
7. Ili kuanza vyema na huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera fanyeni Maamuzi magumu katika Kikosi cha Simba SC na hasa hasa katika Benchi la Ufundi.
Nawajua Mgunda na Matola ni Waswahili Waswahili mno na wataungana ili Kumvuruga na Kumvurugia Kocha Mkuu huyu Mpya na hatimaye Timu haitopata Matokeo na tutamfukuza Jambo ambao Kwao Mgunda na Matola litakuwa ni Furaha.
Watanzania tunajuana na Sisi Watu wa Mpira (hasa huu wa Tanzania tunajuana) hivyo ukiona GENTAMYCINE namkataa Mgunda na Matola kuwa Wasaidizi wa huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera jua (jueni) kuwa namaanisha.
Mkinipuuza huko mbeleni mtakuja Kunikumbuka kwani Sisi Wengine Mwenyezi Mungu katubariki na Maono Makubwa na Makali hivyo yazingatieni. Yote haya kwa Faida ya Simba SC yetu.
nyamaumeSimba inayoamini uchawi hadi kuadhibiwa na CAF itaendana na kicha Msomi wa ki Brazil?
Rekodi kubwa ipiHuyu kocha tumkishindwa basi sisi Simba ndio wenye shida. Kocha ana rekodi kubwa ya soka la Afrika na hana rekodi ya kufukuzwa kwa matokeo mabaya zaidi ya dau kumuondoa. Tumtumie hata misimu 3 tutakuwa na timu imara
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hao wengine waliofukuzwa walikuwa hawana rekodi kubwa ya soka la Afrika!Huyu kocha tumkishindwa basi sisi Simba ndio wenye shida. Kocha ana rekodi kubwa ya soka la Afrika na hana rekodi ya kufukuzwa kwa matokeo mabaya zaidi ya dau kumuondoa. Tumtumie hata misimu 3 tutakuwa na timu imara
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
nenda kawaulize waliofukuzwa kuleMmiliki wa Avic town ni nani?
NimemjibuAkikujibu huyo @320V nishtuwe
Ushuzi, na timu lenu bovu tayari limeshapakatwa huko Zenji.Nimemjibu
Nadhani bado ngozi nyeusi haiaminiki na weusi wenyewe.Me sijui Simba wanahangaika na nn, me naona Mgunda anatosha kabisa maana ball linatembea kweli na team inapata ushindi na magoli ya kutosha yanafungwa.
Tunaleta kocha mpya ambaye team haijui aanze tena kujaribu wachezaji mara huyu mara yule tukija stuka msimu umeisha na hakuna tulichopata.
Nikikumbuka yule Zoran alivyotaka kutuulia team yetu mara anasema sijui Chama mzito, Phiri siyo striker mzuri, onyango si beki akatuletea magarasa yake hapa wakina Dejan na Quatarra nakosa imani kabisa na hawa wazungu.
Wangemuamini Mgunda ameonyesha anaweza na team cohesion ilimeshakaa vizuri
Haya kalambwe kinyeo utulie sasaUshuzi, na timu lenu bovu tayari limeshapakatwa huko Zenji.
😂😂1. Mruhusuni aje na Wasaidizi wake na siyo atakaowakuta.
2. Mkitaka asaidiwe na Mzawa mtafutieni Mtu tofauti na Mgunda na Matola.
3. Maamuzi yote ya Kiufundi ndani ya Klabu yetu aachiwe Yeye na asiingiliwe kamwe.
4. Matola apelekwe Timu ya Vijana Simba B akahangaike nayo huko.
5. Ikiwapendeza Mgunda awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Simba SC au apewe Timu ya Wanawake Simba Queens akafundishe.
6. Musa Mgosi asipandishwe Timu ya Wakubwa na kuwa sehemu ya Benchi la Ufundi.
7. Ili kuanza vyema na huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera fanyeni Maamuzi magumu katika Kikosi cha Simba SC na hasa hasa katika Benchi la Ufundi.
Nawajua Mgunda na Matola ni Waswahili Waswahili mno na wataungana ili Kumvuruga na Kumvurugia Kocha Mkuu huyu Mpya na hatimaye Timu haitopata Matokeo na tutamfukuza Jambo ambao Kwao Mgunda na Matola litakuwa ni Furaha.
Watanzania tunajuana na Sisi Watu wa Mpira (hasa huu wa Tanzania tunajuana) hivyo ukiona GENTAMYCINE namkataa Mgunda na Matola kuwa Wasaidizi wa huyu Kocha Mkuu Mpya Mbrazil Roberto Oliviera jua (jueni) kuwa namaanisha.
Mkinipuuza huko mbeleni mtakuja Kunikumbuka kwani Sisi Wengine Mwenyezi Mungu katubariki na Maono Makubwa na Makali hivyo yazingatieni. Yote haya kwa Faida ya Simba SC yetu.